Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,582
- 53,320
Nimeona post ya mtu mmoja Instagram jamaa ana range spot kaweka plate namba ya jina lake "MWAKA"
Dah kashapiga hela ndefu sana,hiyo pesa aliyopiga ni equivalent na idada ya watu alio warubuni kisaikolojia wakamuamini wakaweka tumaini lao kwake, wakamuabudu ehh😬