Dr. JJ Mwaka si rafiki wa masikini

Dr. JJ Mwaka si rafiki wa masikini

Malilambwiga

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
485
Reaction score
296
Kwa kipindi kirefu sasa mtaalam wa tiba mbadala maarufu kwa jina la Dr.Mwaka anayetoa huduma zake ktk eneo la Bungoni amejizolea umaarufu miongoni mwa wananchi wanaofika ktk Clinic yake kupata huduma.

Awali ya yote nampongeza kwa maono aliyopewa na mwenyezi Mungu kwa kuwasaidia sehemu kubwa ya watanzania wenzake na hata wa nchi za jirani hususani kwa tiba ya maradhi sugu yaliyoshindikana hospitali.

Masikitiko yangu kwa Clinic hii nimebaini nilipokwenda kupata huduma tarehe 10.12.2015 kwamba kwa gharama zinazotozwa pale hakika siyo rafiki wa masikini.

Kuanzia kugungua kadi ya kumwona daktari, vipimo na kimbunga ni kwenye kulipia dawa. Kwa yule anayehitaji kuonana na Dr.Mwaka mwenyewe nako kuna gharama zake. Kwa mgonjwa unayetarajia kwenda kwa mara ya kwanza unatakiwa uwe na kiasi kisichopungua laki tatu.

Napenda kutoa wito kwa Dr. Mwaka aliangalie swala la kupunguza gharama ili huduma anayoitoa iweze kuwanufaisha idadi kubwa ya Watanzania.

HAKIKA KUSOMA NI MALI.
 
sasa hela yote hiyo kina sie tutatoa wapi?mie ntabaki na tiba za Mzizi mkavu...
 
Teh teh...Huyu mtoa mada sijui hajui kinachoendelea...Dr kakimbia clinic yake..Hizo gharama akazipunguze wapi..

Btw na sisi tuanzishe yetu mpendwa..Kuna pesa huku

Yaani hapa natafuta eneo....
Tuandae na mizizi ya kutosha tupige kazi
 
Kwa kipindi kirefu sasa mtaalam wa tiba mbadala maarufu kwa jina la Dr.Mwaka anayetoa huduma zake ktk eneo la Bungoni amejizolea umaarufu miongoni mwa wananchi wanaofika ktk Clinic yake kupata huduma.

Awali ya yote nampongeza kwa maono aliyopewa na mwenyezi Mungu kwa kuwasaidia sehemu kubwa ya watanzania wenzake na hata wa nchi za jirani hususani kwa tiba ya maradhi sugu yaliyoshindikana hospitali.

Masikitiko yangu kwa Clinic hii nimebaini nilipokwenda kupata huduma tarehe 10.12.2015 kwamba kwa gharama zinazotozwa pale hakika siyo rafiki wa masikini.

Kuanzia kugungua kadi ya kumwona daktari, vipimo na kimbunga ni kwenye kulipia dawa. Kwa yule anayehitaji kuonana na Dr.Mwaka mwenyewe nako kuna gharama zake. Kwa mgonjwa unayetarajia kwenda kwa mara ya kwanza unatakiwa uwe na kiasi kisichopungua laki tatu.

Napenda kutoa wito kwa Dr. Mwaka aliangalie swala la kupunguza gharama ili huduma anayoitoa iweze kuwanufaisha idadi kubwa ya Watanzania.

HAKIKA KUSOMA NI MALI.

Ulipona baada ya kutumia tiba yake?, naona watanzania wengi huwa tunapona kwa imani na sio kwa tiba inayotolewa,na hapa hatuongelei maswala ya gharama kilichojiri ni kuwa hana taaluma hiyo ya kuwatibu watu not by professional sio doctor kabisa,aliwashika kweli.
 
Nilikwenda kumuulizia Dawa mdodo Wangu nikaambiwa dozi ya mwanzo Laki3, pale mnyonge lazima afe.
 
Yaani hapa natafuta eneo....
Tuandae na mizizi ya kutosha tupige kazi
Hilo la mizizi lisikupe tabu..Nina rafiki yangu wa kimasai atatusaidia..Yy anadili na hizo vitu..Cha msingi ni kujitanga tu mpendwa..Si unajua biashara matangazo
 
Dr kakimbia,
Na wafanyakazi wengine waliwakuta walipofika, Ila wakakimbia kwa kupitia mlango wa nyuma

Nimeona post ya mtu mmoja Instagram jamaa ana range spot kaweka plate namba ya jina lake "MWAKA"
 
Nimeona post ya mtu mmoja Instagram jamaa ana range spot kaweka plate namba ya jina lake "MWAKA"

Aaaanh jamaa ana magari tisa kama sio kumi. . Yalioneshwa kwenye kipindi cha clouds tv, five gear nadhani kama sijakosea
 
Kwa kipindi kirefu sasa mtaalam wa tiba mbadala maarufu kwa jina la Dr.Mwaka anayetoa huduma zake ktk eneo la Bungoni amejizolea umaarufu miongoni mwa wananchi wanaofika ktk Clinic yake kupata huduma.

Awali ya yote nampongeza kwa maono aliyopewa na mwenyezi Mungu kwa kuwasaidia sehemu kubwa ya watanzania wenzake na hata wa nchi za jirani hususani kwa tiba ya maradhi sugu yaliyoshindikana hospitali.

Masikitiko yangu kwa Clinic hii nimebaini nilipokwenda kupata huduma tarehe 10.12.2015 kwamba kwa gharama zinazotozwa pale hakika siyo rafiki wa masikini.

Kuanzia kugungua kadi ya kumwona daktari, vipimo na kimbunga ni kwenye kulipia dawa. Kwa yule anayehitaji kuonana na Dr.Mwaka mwenyewe nako kuna gharama zake. Kwa mgonjwa unayetarajia kwenda kwa mara ya kwanza unatakiwa uwe na kiasi kisichopungua laki tatu.

Napenda kutoa wito kwa Dr. Mwaka aliangalie swala la kupunguza gharama ili huduma anayoitoa iweze kuwanufaisha idadi kubwa ya Watanzania.

HAKIKA KUSOMA NI MALI.
wewe vipi au umetumwa. hii njemba imebambwa kama tapeli kwa kujifanya medical doctor wakati sio halafu unammwagia sifa. mwaka ni wale waganga wa kienyeji halafu wanaprogress na kuchanganya tiba ya kisasa ulozi ramli ulaghai etc. hebu sema kwa nini alitimka baada ya naibu waziri wa afya kumtembelea kwa ghafla?
 
wewe vipi au umetumwa. hii njemba imebambwa kama tapeli kwa kujifanya medical doctor wakati sio halafu unammwagia sifa. mwaka ni wale waganga wa kienyeji halafu wanaprogress na kuchanganya tiba ya kisasa ulozi ramli ulaghai etc. hebu sema kwa nini alitimka baada ya naibu waziri wa afya kumtembelea kwa ghafla?

Hapo vepe
 

Attachments

  • 1450164188234.jpg
    1450164188234.jpg
    59.9 KB · Views: 1,102
Back
Top Bottom