Bullsht politics ,mnashindwa kua na stable electricity kwenye nchi mnakuja kuongea umavimavi wa siasaUmesikia msaliti tundu keshawasaliti Wamarangu, au haujasikia bado? Anahama chadema!
Nilivyoona tu hiyo nembo iliopo chini kulia ya bango nyuma ya huyo na daktari nikamuelewa haraka sana"Siku hizi kila kosa mtu anakamtwa tu bila hata ya kibali na hakuna mtu anayepinga na ukipeleka hoja hiyo mahakamani kuwa ulikamatwa bila sheria haitazingatiwa," Dkt James Jesse, Mhadhiri Chuo Kikuu Dar es salaam.
#ElectionSecurity2019
#ElectionSecurity2020
View attachment 1221781
Si ndio mana wanajenga STIGILAZ GOJI mwana.Bullsht politics ,mnashindwa kua na stable electricity kwenye nchi mnakuja kuongea umavimavi wa siasa
Bullsht politics ,mnashindwa kua na stable electricity kwenye nchi mnakuja kuongea umavimavi wa siasa
Pumb.Umesikia msaliti tundu keshawasaliti Wamarangu, au haujasikia bado? Anahama chadema!
Huyu atakua na undugu na PasikaliAnaongea ukweli
Wasiokuwa makada ni wengi tu lakini inabidi kuishi "kinafiki"-unayaona kama huyaoni. Tunaongea kwenye korido na maofisi yetu. Ukipiga kelele kiama kinakushukia. Wanaopaza sauti ni wachahche sana na tumeona wengi wao walivyoshughulikiwa. Mpaka wanafunzi maalum kutoka vitengoni wapo vyuo.Hivi huko vyuoni kweli kuna wasiokuwa "makada wa ccm," Mbona hawasikiki au woga/unafiki? Tunawasikia wa CCM pekee!
Mkuu hili halikuanza leo. LIPO ZAMANI SANA.Mpaka wanafunzi maalum kutoka vitengoni wapo vyuo.
Mbaya zaidi hayo maneno anawaambia ma Arapisi wa mikoa mbalimbali kwenye seminaTutayaona mengi...ila namhurumia kama hana za kuombea msamaha...;?
Nahisi kashaiichoka udsm..nmpa miaka 3 ,
Km kuna mtu anamtumia itajulikana tu
Watanzania tunaishi kwa hofu sana,wakati awamu hii inaingia madarakani tulikuwa tunatembea kifua mbele ,sasa hivi kila ukitembea unageuka nyuma unahisi kama unaviziwa ukamatwe upewe kesi ya kutakatisha saingine unajikuta unakimbia tu mwenyewe kama mwehu
Huyu hajui sheria kuna makosa ambayo unakamatwa wakati wowote bila kibali. Makosa unayotakiwa kukamatwa na kibali ni ya madai tu lakini ya jinai unakamatwa wakati wowote."Siku hizi kila kosa mtu anakamtwa tu bila hata ya kibali na hakuna mtu anayepinga na ukipeleka hoja hiyo mahakamani kuwa ulikamatwa bila sheria haitazingatiwa," Dkt James Jesse, Mhadhiri Chuo Kikuu Dar es salaam.
#ElectionSecurity2019
#ElectionSecurity2020
View attachment 1221781
Amekufa lini?Ukweli uliosimamia utakupa haki mbele za Mungu.
Punzika kwa Amani.
RIP"Siku hizi kila kosa mtu anakamtwa tu bila hata ya kibali na hakuna mtu anayepinga na ukipeleka hoja hiyo mahakamani kuwa ulikamatwa bila sheria haitazingatiwa," Dkt James Jesse, Mhadhiri Chuo Kikuu Dar es salaam.
#ElectionSecurity2019
#ElectionSecurity2020
View attachment 1221781
Watanzania kuweni na akili basi wewe na mwalimu wa sheria(PhD) nani anazijua sheria?Huyu hajui sheria kuna makosa ambayo unakamatwa wakati wowote bila kibali. Makosa unayotakiwa kukamatwa na kibali ni ya madai tu lakini ya jinai unakamatwa wakati wowote.