Jamaa kila unachokiona duniani ni dawa na dozi zote anazo. Ukimuuliza hata mkojo atakwambia namna ya kunywa ili upone. Ila kapiga na anaendelea kupiga pesa kibongobongo
Jamaa kila unachokiona duniani ni dawa na dozi zote anazo. Ukimuuliza hata mkojo atakwambia namna ya kunywa ili upone. Ila kapiga na anaendelea kupiga pesa kibongobongo
Hizi biashara ukitaka ufaidi, inabidi uwe na kipindi ktk television kisha andaa watu wako wa ushuhuda kisha subiri uone utavyopiga pesa. Jamaa anaongea kama kameza radio! uenda anajipanga atoke vipi tena.
Jamaa kila unachokiona duniani ni dawa na dozi zote anazo. Ukimuuliza hata mkojo atakwambia namna ya kunywa ili upone. Ila kapiga na anaendelea kupiga pesa kibongobongo