linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Kwani bia ina tatizo gani...??? Yani hebu mniambie ndani C2H2OH ndani yake kuna dhambi..??? Tafadhali mtu anieleweshe...
Kinachokataliwa hasa na Biblia ni Alcohol Abuse na siyo alcohol..
Madhara ya kukariri Biblia...
Ni dhambi mswahili kuoa au kuolewa na mzungu by Dr Ndodi.
Nimeshajaribu kua mmoja wao, bado nimeshindwa.
Wape maskini mvinyo wasahau shida zao.
Wewe ndio mnaoambiwaga mtembee na funguo za gari magari yatakuja kupatikana tu, ujinga huu kushindwa kuhoji credibility ya mtu.
madhara ya D 5, haya kwa akili zako unadhania ni wasabato tu hawatumii majani ya chai? Na kwa wasabato si kwamba ukitumia ni dhambi wao kawaida wana elimu ya afya ambapo wanafundisha mambo mengi sana ikiwemo, swala la kunywa maji maji safi na salama. hivyo usipende kukariri mambo
msilewe kwa mvinyo maana ndani ya mvinyo kuna ufisadi. hapa atukanwe nani tena bibilia au?
Huyu mzee bado yupo?
Siyo kweli, mbona wakatoliki wanaruhusiwa kunywa pombe. Mimi kwa macho yangu nimewashuhudia padri na masister wakinywa bia katika harusi ya jamaa yangu. Kwani ndodi anatumia biblia gani na mapadri/sisters wanatumia biblia gani????kumbe shida ni alipoiponda pombe!Kama kweli wewe ni mkristo haitakuboa ukiona mtu anasoma biblia au kuhubiri habari za Yesu,vinginevyo Ukristo wako utakuwa na mushkeli.
Kwani bia ina tatizo gani...??? Yani hebu mniambie ndani C2H2OH ndani yake kuna dhambi..??? Tafadhali mtu anieleweshe...
Kinachokataliwa hasa na Biblia ni Alcohol Abuse na siyo alcohol..
Madhara ya kukariri Biblia...
Cha mwisho jana usiku nikiwa nyumbani nasikiliza kipindi chako nilifunguwa friji nikavuta kopo zangu za bia nikawa napooza koo huku nakusikiliza kwa makini mwishowe ukatowa elimu kwamba mwanamke asikubali kuolewa na mwanaume anayekunywa pombe!! Hapo ndio nikahitimisha wewe ni mjinga kabisa
Soda ina madhara, chakula kina madhara....hakuna kitu ambacho hakina madhara kama uta over use..By the way unatukana wasabato lakini wao wanaamini ukweli wa biblia ndodi amekwambia uache pombe Ina madhara kama hutaki kufuata ushauri hauna haja ya kuja kutukana humu jamii forum wewe piga kimya edelea kunywa bia zako ukipata madhara napo piga kimya usimweleze mtu ni hayo tu
Usijifunge nila na wasiyo amini
Usijifunge nila na wasiyo amini
Karibuni kipindi ndio kinaanza wakuu
Karibuni kipindi ndio kinaanza wakuu