Kama ingekuwa inawezekana mmoja wapo wa hawa angekuwa waziri mkuu Taifa lingeenda mbali sana
1. Prof.Kabudi
2.Dkt.Bashiru
Kwa Prof. kabudi inawezekana ila kwa Dkt.Bashiru haiwezekani kwa sasa bila mabadiliko ya katiba kutokana na aina ya ubunge alionao