Dr Hamis Kigwangala(Mbunge); Najipanga kuacha siasa

Kauli yangu ya jana imewashtua wengi, nimepigiwa simu na kujibu meseji nyingi sana, kilichonishtua ni pale nilipowakuta wazee wa3 na vijana wa2 nyumbani kwangu wakinisubiri kutaka kujua ukweli kama najipanga kuacha siasa ama vipi! Nawaomba radhi wote niliowashtua kwa kauli ile na ninawataarifu kuwa bado natafakari kama nitagombea tena Ubunge ama la. Nimegundua kumbe kazi yangu inawagusa wengi. Ahsanteni sana!

Haya maelezo yapo kwenye wall ya mkuu Kigwangala kwenye ukuta(wall) ya tizama kitabu (facebook).


Karibuni wadau

Kama ataendelea kuwa mtumwa wa MAFISADI na kuto-pigania maslahi ya wananchi/taifa ni bora arudi kwenye BIASHARA zake za KICHINA.aache ubabaishaji tulisha kichoka chama chake na yeye ametuboa kuwa mtumwa.
 
muongo huyu............wala hakuna aliemfuata ht kumsms.... anajishaua tu.
kwa jinsi asivyopendwa huku nzg sidhani km kuna watu wanaoweza kujipendekeza kiasi hiki kwake...........watu washamchoka wanataman afe ht leo.
 
Kwanza ali -disco pale MUCHS kamanda lissu akamtetea na sasa ame disco tena kwenye ubunge wa wamagamba sijui safari hii nani atamtetea?
 
Majibu haya hapa
''In life one has to have his plan. I was re-checking mine and it was a real trade-off. I was passing through a real hard decision time, and bless to all you who could help me decide wisely. I now know what to do, how to do it and never worry about the outcomes of my choice. Your words of wisdom, logical outlay, quotes and plain advice have been tools that I really needed at these trying times. Thanks, once again.'' Mwisho wa kumnukua D.. Kigwangalla (MB) 2O13

Too much information is confusing the electorate.
 
Huyu jamaa ana tatizo gani?

Kwa nini anajiona maarufu sana wa kubembelezwa? Kafanya nini jimboni kwake?

Kauli zake hazina mashiko, ni ubabaishaji mtupu.

Anakumbuka kweli kauli zake? Ni mara ngapi ametoa kauli za kuachia ngazi halafu baadaye akifikiria maslahi binafsi anatabadilisha uamuzi?

Alipobanwa mbavu na magamba wenzie Nzega na POLICCM kumchangamsha kidogo hakutishia kujiuzulu? Ile mikutano ya waandishi wa habari aliyokuwa akiitisha na kahirisha amesahau?

Kauli aliyotoa kuwa mpaka aje kwanza mjini ndio atatoa maamuzi magumu imeishia wapi?

Asiwe kigeu geu: Kiongozi lazima awe mkweli, aheshimu na apime kauli zake.
 
Acha siasa alafu fungua kiwanda cha vitumbua

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Afadhali uachane na siasa maana hizi siasa zako za kutoleana bastola na kupigana ngumi kwenye vikao ipo siku ambayo haiko mbali itakuweka mahali pabaya,...mark my words,.,.,.
 
[h=5]Kauli yangu ya jana imewashtua wengi, nimepigiwa simu na kujibu meseji nyingi sana, kilichonishtua ni pale nilipowakuta wazee wa3 na vijana wa2 nyumbani kwangu wakinisubiri kutaka kujua ukweli kama najipanga kuacha siasa ama vipi! Nawaomba radhi wote niliowashtua kwa kauli ile na ninawataarifu kuwa bado natafakari kama nitagombea tena Ubunge ama la. Nimegundua kumbe kazi yangu inawagusa wengi. Ahsanteni sana!

Haya maelezo yapo kwenye wall ya mkuu Kigwangala kwenye ukuta(wall) ya tizama kitabu (facebook).[/h]Karibuni wadau

ninapousoma ujumbe huu kigwa kati ya mistari napata picha fulani. Ni kama mtu aliyenusurika kifo au ajali ambayo ingetokana na kitu kizito au chenye ncha kali. Anahemea pembeni akiwa haamini kilichotokea. Nikiunganisha mwonekano (hasa sura) wa kigwa na ujumbe huu naona ni mtu ambaye keshapoteza kabisa kujiamini kabisa
 
Nahisi kinachosumbua ni stage zote mbili. Kura za maoni ndani ya lichama lao na pili mpinzani wake!! Kuvuka stage zote mbili ni shughuli kwake 2015...
 
Kauli yangu ya jana imewashtua wengi, nimepigiwa simu na kujibu meseji nyingi sana, kilichonishtua ni pale nilipowakuta wazee wa3 na vijana wa2 nyumbani kwangu wakinisubiri kutaka kujua ukweli kama najipanga kuacha siasa ama vipi! Nawaomba radhi wote niliowashtua kwa kauli ile na ninawataarifu kuwa bado natafakari kama nitagombea tena Ubunge ama la. Nimegundua kumbe kazi yangu inawagusa wengi. Ahsanteni sana!

Haya maelezo yapo kwenye wall ya mkuu Kigwangala kwenye ukuta(wall) ya tizama kitabu (facebook).


Karibuni wadau
He has achieved things in his life and for sure out of hard work but being in politics has revealed him as a "fluke" and a fake. The rest is up to him and people who votes
 
Mbunge wa Jimbo la Nzega kupitia CCM, Mhe. Hamis Kigwangalla kupitia akaunti yake ya Facebook ameweka kuwa njia panda katika ya kubaki kwenye Siasa au kuachana nayo na kuendelea na mambo mengine.

Msome Hapa:

Nina maswali mengi sana kichwani mwangu. Kama niendelee kuishi maisha haya ya kisiasa ama niache nirudi kwenye uanazuoni. Nakosa majibu.
Napenda kufundisha chuo kikuu, napenda kufanya tafiti, napenda kusoma, na pia napenda familia yangu sana.
Nikifanya siasa nasafiri sana - naikosa familia yangu. Nikisema nikafundishe chuo kikuu ama niwe mtafiti - safari zitapungua kiasi lakini nitakosa variety, ambayo imo kwenye siasa, na nitakosa fursa ya kubuni na kushauri utekelezaji wa maamuzi mbalimbali nyeti kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa jamii.
Napenda kutumikia umma na pia kutatua matatizo ya watu. Nikiishi maisha ya kisiasa, naikosa familia yangu kwa kiasi kikubwa. Nikiamua kuishi maisha ya kimwanazuoni nitakosa variety ambayo ipo kwenye siasa na biashara tu.
Niishi maisha gani mimi? Nipo kwenye dilemma nzito ambayo sina majibu yake. Nachanganyikiwa tu. Mungu nioneshe njia sahihi ya maisha yangu ya baadaye.


 
Mbunge wa Jimbo
la Nzega kupitia CCM, Mhe. Hamis Kigwangalla kupitia akaunti yake ya
Facebook ameweka kuwa njia panda katika ya kubaki kwenye Siasa au
kuachana nayo na kuendelea na mambo mengine.


Msome Hapa:

Nina maswali mengi sana kichwani mwangu.
Kama niendelee kuishi maisha haya ya kisiasa ama niache nirudi kwenye
uanazuoni. Nakosa majibu.
Napenda kufundisha chuo kikuu, napenda kufanya tafiti, napenda kusoma,
na pia napenda familia yangu sana.
Nikifanya siasa nasafiri sana - naikosa familia yangu. Nikisema
nikafundishe chuo kikuu ama niwe mtafiti - safari zitapungua kiasi
lakini nitakosa variety, ambayo imo kwenye siasa, na nitakosa fursa ya
kubuni na kushauri utekelezaji wa maamuzi mbalimbali nyeti kwa ajili ya
maendeleo na ustawi wa jamii.
Napenda kutumikia umma na pia kutatua matatizo ya watu. Nikiishi maisha
ya kisiasa, naikosa familia yangu kwa kiasi kikubwa. Nikiamua kuishi
maisha ya kimwanazuoni nitakosa variety ambayo ipo kwenye siasa na
biashara tu.
Niishi maisha gani mimi? Nipo kwenye dilemma nzito ambayo sina majibu
yake. Nachanganyikiwa tu. Mungu nioneshe njia sahihi ya maisha yangu ya
baadaye.



Mke wake atakuwa mshauri mzuri sana kuhusu Family - Politics choice... Lakini mimi namshauri aende kwenye Utafiti...
 
Hao wazee waliomfuata hawana lolote! Walikuwa wanaangalia kama kuna uwezekano wa kupata vitumbua!
 
Mungu akusaidie HKigwangalla, siasa si za kukimbilia ni wito kama hauna wito huo, utakujikuta na dilemma kila siku.
 
Ashajipima na kuona hakatishi hata kwenye primaries kwa msomali
 
Hapa anacheza na akili zetu, ili ikifika 2015, aje atuzuge eti wazee wamemwomba na kumsihi agombee na wamegharamikia form za uchaguzi wao wenyewe.
 
Huyu jamaa si alishawahi kusema ana mpango wa kuwa Rais wa inji hii? Vipi tena Mh Rais wetu mtarajiwa? Au ndio style mpya ya kutongozea kura?
 
Saa nyingine wanasiasa kama wanawake. Wanapenda kubembelezwa. Mimi binafsi siwezi mpigia kura mwanasiasa ambae anadai "kaombwa" au "kabembelezwa" kugombea maana mwisho wa siku akichemsha atasema kwanza sikuitaka nafasi hii nililazimishwa. Hawa wa "nimeombwa na wazee" nawaweka kundi moja na wale wa "nimeoteshwa" ambao wanadhani wao ni manabii waliotumwa na Mungu kwenye ndoto zao.
 
hao walio mtembelea na kumpigia simu ikiwemo kumtext iwapo watampigia kura anaweza kushinda?. CHADEMA balaa hadi watu wanawaza wapi wakajifiche wasikumbane na tsunami ya 2015. mia
Na pia anashindwa kuweka bayana hao waliomfuata ni wananchi wa kawaida au ni ndugu zake ambao ni miongoni mwa beneficiaries......CHADEMA mziki mnene ....sasa mkuu sahivi njaa kali wanasubiri wale kidogo wamalizie wapate mitaji, mi nakwambia mwishoni CCM wengi sana watatimka sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom