Dr H. Mwakiembe atapona na mtashangaa!

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,221
Ndugu Watanzania nikiwa mtanzania mwenye Imani thabiti napenda kuwahakikishia yakuwa Dr Harison Mwakiembe atapona, baada yakuwepo gumzo kubwa kila kona ya Tanzania at the last Dr Harson atapona, pamoja yale ametendewa kama ametegwa ama wamefanyaje ila Mungu alie lifanya Taifa la Tanzania anataka watanzania na dunia kuwa yupo Mungu alie Hai. Dr Harson si wakwanza kupita ktk mapito mazito ila ilimpasa kuyapita ili Mungu akatukuzwe na wale ambao ni Majambaz wa Taifa ili wakajuwe Hawawezi kushindana na Mungu Alie Hai.

Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake.

Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania!

Amen!
 
hivi wapiiga kura wake wa kyela na mbeya in general wana hisia gani kwa haya yanayofanyika kwa viongozi wao wa kuchaguliwa?
 
Nika Mandela kufungwa maisha ila after25yr akawa huru nadhan S. A walifurah sana. Ndivyo itakavyokuwa kwa wananch wa Kiela kusikia mbunge wao kapona.
 
eti wakuu, .............................huyu ndiye mwakyembe mpya??........................
avatar53426_5.gif
........................... dah!!.................., kweli kabisa anastahili maombi....................
 
Mungu aliumba uranium,binadamu akaitumia kutengeneza bomu la atomiki kwanini uranium haitengenezi saa?
 
hivi wapiiga kura wake wa kyela na mbeya in general wana hisia gani kwa haya yanayofanyika kwa viongozi wao wa kuchaguliwa?
hAPA ndipo roho ya thread ilipokaa!
Kyela wanajifanya kuwa ni ccm damdam...sijui wana lipi la kuendelea kuiamini ccm kwa hapo!
Ilitakiwa ccm wakusanyike kumwombea apone kama wanahisi ni ugonjwa wa Mungu, na kama wanahisi mkono wa mtu basi waandamane kumlaani!..lakini kukaa kimya kama walivyo, ni kichekesho!
MwakyembeSema(2).jpg
 
Ndugu Watanzania nikiwa mtanzania mwenye Imani thabiti napenda kuwahakikishia yakuwa Dr Harison Mwakiembe atapona, baada yakuwepo gumzo kubwa kila kona ya Tanzania at the last Dr Harson atapona, pamoja yale ametendewa kama ametegwa ama wamefanyaje ila Mungu alie lifanya Taifa la Tanzania anataka watanzania na dunia kuwa yupo Mungu alie Hai. Dr Harson si wakwanza kupita ktk mapito mazito ila ilimpasa kuyapita ili Mungu akatukuzwe na wale ambao ni Majambaz wa Taifa ili wakajuwe Hawawezi kushindana na Mungu Alie Hai. Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake. Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania! Amen!


We mganga wa kienyeji? au mtabiri!
 
Kupona atapona.

swali, Baba Ridhiwani atawatimua kweli kina E.L au wanatuzengua tuu??

ushauri wangu kwa mwakyembe awe makini sana cause inaonekana ni siriazi tatizo, kuona mtu amekuwa mweupe gafla na ajatumia caro light.?

mafisadi wananguvu aisee bwashee.
 
Hivi siku hizi Mungu anachezewa kweli yaani mtu amfanye mwenzake namna hii halafu kila siku yuko makanisani kuendesha harambee kwa hela iliyojaa damu za watu wasio na hatia.. Ehe Mweyezi Mungu mlaani haramia huyu anayeutafuta urais kwa kuua wenzake.
 
Atapona katika Jina moja lililo Kuu na damu takatifu iliyomwagika pale Kalvari,Yaani Jina la Yesu!
Mwakyembe Pona katika Jina la Yesu! Wote JF semeni Amen!
 
jAMANI MAOMBI NI YA KILA MTU ILA THREAD HII NI KUWA WATU WA KYELA WANASEMAJE?CCM NI WAUWAJI BADO WANAAMINI CCM
 
Ingawa namuonea huruma Dr Mwakyemebe kwa yaliyo mkuta(Mungu amponye mapema) si vyema kunyoshea watu vidole na kusema ni yule.Na siku mkigundua si yeye????? Mungu awasamehe wote wanawahukumu wenzao kwa kutumia umbea zaidi ya ukweli?
 
Kimya kingi kina mshindo mkuu! sasa hivi wana kyela wanamuombea kamanda wao apone hilo ndo la msingi kwao kwa wakati huu. ila utafika wakati watajitokeza kudai haki itendeke na ndipo hao wanaodhani wanaweza kufanya lolote ndani ya nchi bila kuchukuliwa hatua watatamani ardhi iwameze.... labda wakimbie nchi!
 
Ndugu Watanzania nikiwa mtanzania mwenye Imani thabiti napenda kuwahakikishia yakuwa Dr Harison Mwakiembe atapona, baada yakuwepo gumzo kubwa kila kona ya Tanzania at the last Dr Harson atapona, pamoja yale ametendewa kama ametegwa ama wamefanyaje ila Mungu alie lifanya Taifa la Tanzania anataka watanzania na dunia kuwa yupo Mungu alie Hai. Dr Harson si wakwanza kupita ktk mapito mazito ila ilimpasa kuyapita ili Mungu akatukuzwe na wale ambao ni Majambaz wa Taifa ili wakajuwe Hawawezi kushindana na Mungu Alie Hai. Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake. Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania! Amen!

Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure! umeanza kuweka imani kwa Mungu unamalizia kuwategemea walinzi hujui kama neno la Mungu linasema "amelaaniwa amtegemeaye manadamu?" Yeremia 17:5 na Nyerere alisema mkiona tumenza kujiimarishia ulinzi mjue tumeanza kuwaibia. sasa naona na wewe kwa njia moja ama nyingine unataka kuanzisha wizi/ubadhilifu wa mali ya umma/kodi ya watanzania. Je, maraisi waliouawa hawakuwa na walinzi? mwamini Mungu awape hekima na kibali viongozi mbele ya wananchi ifike wakati badala ya kuongeza ulinzi walinzi waondolewe kabisa wakafanye kazi zingine, watu zaidi ya 100 wanalinda mtu mmoja wangefanya shughuli zingine za kimaendeleo unaonaje? kweli "watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa" Hosea 4:6. Lakini "mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru" Yohana 8:32. hapo hakuna cha ulinzi kwani kweli inajilinda yenyewe.
 
Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure! umeanza kuweka imani kwa Mungu unamalizia kuwategemea walinzi hujui kama neno la Mungu linasema "amelaaniwa amtegemeaye manadamu?" Yeremia 17:5 na Nyerere alisema mkiona tumenza kujiimarishia ulinzi mjue tumeanza kuwaibia. sasa naona na wewe kwa njia moja ama nyingine unataka kuanzisha wizi/ubadhilifu wa mali ya umma/kodi ya watanzania. Je, maraisi waliouawa hawakuwa na walinzi? mwamini Mungu awape hekima na kibali viongozi mbele ya wananchi ifike wakati badala ya kuongeza ulinzi walinzi waondolewe kabisa wakafanye kazi zingine, watu zaidi ya 100 wanalinda mtu mmoja wangefanya shughuli zingine za kimaendeleo unaonaje? kweli "watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa" Hosea 4:6. Lakini "mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru" Yohana 8:32. hapo hakuna cha ulinzi kwani kweli inajilinda yenyewe.

Unajuwa ukiijuwa kweli utawekwa huru. Nilazima ujuwe maana ya kiongoz ktk Kibiblia.. Rais anahaki yakulindwa 100%. K.
 
Back
Top Bottom