Ndugu Watanzania nikiwa mtanzania mwenye Imani thabiti napenda kuwahakikishia yakuwa Dr Harison Mwakiembe atapona, baada yakuwepo gumzo kubwa kila kona ya Tanzania at the last Dr Harson atapona, pamoja yale ametendewa kama ametegwa ama wamefanyaje ila Mungu alie lifanya Taifa la Tanzania anataka watanzania na dunia kuwa yupo Mungu alie Hai. Dr Harson si wakwanza kupita ktk mapito mazito ila ilimpasa kuyapita ili Mungu akatukuzwe na wale ambao ni Majambaz wa Taifa ili wakajuwe Hawawezi kushindana na Mungu Alie Hai.
Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake.
Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania!
Amen!
Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake.
Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania!
Amen!