Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Wadau natumai wote mu wazima wa afya njema. Naomba kwa yeyote anayeweza kunipatia contacts za dr. Emmanuel boaz ambaye ni daktari mtaalamu wa mifupa anisaidie maana bi mkubwa anasumbuliwa na maradhi ya mifupa soo alimsikia huyu bwana akihojiwa itv mwaka jana sasa ameamua kumtafuta ili amsaidie tatizo ni mawasiliano yake. Natanguliza shukrani za dhati...we are great thinkers