Nimeuskia huu wimbo wa Dr Jose Chameleone, anaimba 'sina barubaru baibe'' ivi ni barubaru huyu huyu wa hapa JF au? pia siku izi simuona wala simskii hapa mkekani. sijui kapotelea wapi? ni wimbo mzuri sana huu
ivi ni valu valu ama baru baru?
Nimeuskia huu wimbo wa Dr Jose Chameleone, anaimba 'sina barubaru baibe'' ivi ni barubaru huyu huyu wa hapa JF au? pia siku izi simuona wala simskii hapa mkekani. sijui kapotelea wapi? ni wimbo mzuri sana huu
Valu Valu.
Me too kapipi, ivi ni kapipi ka kijiti au kaduara?
Nimeazisha tuishieni uje ujifunze sawa kipipi?Kumbe!! Basi hata mie huwa najua ni barubaru! Anamaanisha nini eti? Lol.....I like that kawimbo vere vere (of coz napenda nyimbo za kiganda....tatizo kalugha tu ndo sikaelewi)
Nimeazisha tuishieni uje ujifunze sawa kipipi?
Point of correction - KAPIPI