Tyad of fake Politcs
Member
- Apr 3, 2012
- 35
- 8
Kuna kazi moja umesahau ambayo ndio anajitahidi sana kuifanya, ya kila siku kutembea na mkasi mfukoni kwa ajili ya kukata utepe.muacheni jamani mzee wetu, makamu wa rais wa JMT.....
~ muungano
~ mazingira
ndio majukumu yake makuu JMT tu
LOD inashuka sasa kwake...
V
SENGEREMA
Excellent!!His tool of trade are these lot
![]()