Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

mkuu tembelea mapiramidi ya misri au tafuta tu documentary zake utaona kuwa kwenye michoro iliyomo kwenye zile temples ni watu weusi,jet black
unaniambia waethiopia sio weusi!!!
Mcheki Haile salaise,si mweusi. kuna yule jamaa Mariam Mangtse kama sijakosea jina. alipofanya mapinduzi alikuwa anaogopa kujitokeza sababu alikuwa mweusi na haonekani kiethiopia. waethiopia wamekomesha utumwa mwaka 1931.na watu weusi ndiyo hasa walikuwa watumwa. huwa nafikia mkataa kwamba waethiopia siyo weusi. ila ntacheki hizo documentaries nizidi kujifunza.
 
Mcheki Haile salaise,si mweusi. kuna yule jamaa Mariam Mangtse kama sijakosea jina. alipofanya mapinduzi alikuwa anaogopa kujitokeza sababu alikuwa mweusi na haonekani kiethiopia. waethiopia wamekomesha utumwa mwaka 1931.na watu weusi ndiyo hasa walikuwa watumwa. huwa nafikia mkataa kwamba waethiopia siyo weusi. ila ntacheki hizo documentaries nizidi kujifunza.
wote wana kinky hair(nywele ngumu),wote ni weusi lakini light skinned

220px-Haile_Selassie_in_suit_and_cloak_in_1960s.jpg
300px-Jakaya_Kikwete%2C_Tanzania.jpg
 
Machi 6-8 1986 Dr. Ben Yosef Jochannan alifanya mhadhara jijini London kwa Jumuiya ya Waafrika (watokao Africa na Carribean).Haya yalikuwa maneno yake:

Kwanza nitatoa shukrani zangu kwenu kwa kunikaribisha hapa,na naomba mfatilie mjadala huu kwa umakini mkubwa,sababu kama mjuavyo najulikana kwa kuwa mtata.Mimi ni mtata sio kwa sababu mafundisho yangu yana tatizo bali ni kwa sababu naupa changamoto utawala wa kifikra wa Magharibi.

Afrika ikiwa kama kichwa cha mjadala wangu haiwezi kuongelewa katika muktadha wa Adam na Eva,sababu zamani kabla hawajawa na Adam na Eva ilikuwepo Afrika na Waafrika wakiwa na dhana zilizodumu kabla ya Abraham.Mapiramidi yote ya Afrika na sio yale yaliyopo tu Misri bali yale yaliyopo Sudan na mawili yaliyopo kaskazini ya Ethiopia(ambayo Uingereza na Mkutano wa Berlin waliamua kuyaweka Sudan ya kusini),yalijengwa maelfu ya miaka kabla majina Adam na Eva kutajwa sehemu yoyote katika sayari hii.Unapokuja katika kuzaliwa kwa Abraham,wakati huo huo Waafrika waishio katika bonde la mto Nile walikuwa katika kipindi cha nasaba (dynasty) ya 13,wakati huo hakuna Adam na Eva kwa sababu Waebrania walikupa dhana ya Adam na Eva.Wengi wenu mnaamini hii dhana ina ukweli badala tu ni Serikali inayoendeshwa kwa mfumo wa dini.

Kuiongelea Afrika itakubidi ubadili dhana yako ya Bikira Maria na kuelewa kuwa si chochote isipokuwa ni nakala (copy) ya Isis na mume wake mungu Osiris. N a pia itakubidi uende kwenye bonde la mto Nile kwenye mahekalu na kuona kuwa hii ni maelfu ya miaka kabla ya Westminster Abbey na Vatican.Natumia bonde la mto Nile mahsusi kwa sababu kumbukumbu za kale bado zipo katika mfumo wa minara,mahekalu na miundo mingine,bila shaka,kuna mengi yameibiwa ambayo yapo hapa London,Berlin na maeneo mengine.

Mababu zako waliupa ulimwengu kalenda miaka 10,000 kabla ya yesu.Hiyo ni miaka 8,000kabla ya Adam na Eva.Mababu zako walibadilisha mfumo wa tarehe kwa sababu ya uelewa wao wa hesabu za kiunajimu.Ni sayansi ya unajimu inayotoa uwezo wa kusoma kalenda.Dhana inajieleza yenyewe,kalenda inayotumia mfumo wa jua inayoonyesha uhusiano wa mwezi na jua ambayo inatupa msingi wa kalenda ya wakti wa sasa.Na nitasema kuwa haikuwepo jamii hata moja ya Ulaya iliyokuwepo katika kipindi hicho.Mwandishi wa kwanza wa Ulaya,Homer alizaliwa na baadae kujua kusoma na kuandika kutokana na mafundisho aliyopewa na Waafrika,yeye pia alianza kuthibitisha ushahidi ambao mababu zako walikuwa nao kwa kueleza kuwa hata miungu ya Ulaya,mahsusi Ugiriki,ambaye kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Pyrrhus,alitoka Ethiopia.

Nina uhakika kuwa kati yenu ambao mmesoma vyuoni,kama sio hapa Uingereza,sehemu nyingine,mnajua kuwa nanukuu kutoka kwenye kazi mbili za Homer,Iliad na Odyssey ambazo ziliipeleka Ulaya na Uingereza kwenye ustaarabu.Mwafrika ambaye ni lazima tumuongelee ni Mwafrika ambaye alisababisha watu waelewe sayansi,madawa,sharia,uhandisi na kadhalika.Ni kawaida hapa katika vyuo vikuu kujikita katika madawa kama vile Sanaa ya madawa ilitoka kwa Mgiriki anayeitwa Hippocrates.Hatuna Homer hadi takribani mwaka 333 kabla ya yesu.Bado hatuhitaji kumbukumbu yoyote zaidi ya Hippocrates mwenyewe kujua kinachofundishwa hapa kwenye vyuo vikuu ni uongo.

Mtu anatakiwa kutambua kwamba ,hata Hippocrates mwenyewe katika kile kinachojulikana kama “kiapo cha Hippocrates” aliandika kwamba alikuwa na mungu aliyeitwa Escalipius,jina la Kigiriki lenye maana Mungu Imhotep.Imhotep alifariki miaka 2500 kabla ya kuzaliwa kwa Hippocrates.Imhotep ni mtu wa kwanza kujulikana kuwa na vipaji vingi(multigenius) zaidi ya yule mnamuita Michaelangelo.Hatuna Michaelangelo hadi mwaka 1609 na hajulikani mpaka alipopewa kazi na papa Julius II,ambaye alimuagiza kuchora michoro kwenye paa la kanisa la Sistine.Michaelangelo alimtumia binamu yake na ndugu zake wengine kama mifano iliyotumika kama baadhi ya wahusika wa kibiblia katika michoro yake.

Msingi wa uhandisi ulianzishwa na Imhotep.Alijenga jengo la kwanza kwa kutumia mawe,hilo jengo bado limesimama sehemu inaitwa Sakkara,mwendo wa chini ya saa moja kaskazini magharibi mwa ambayo sasa inaitwa Cairo.Na hapa utaona Grand Lodge ya Farao Djoser iliyopo Sakkara.Jengo lile lilijengwa katika nasaba ya tatu.Imhotep alikuwa ni mwanadamu aliyetupa msemo “kula,kunywa na kuwa na furaha kwa sababu kesho lazima tutakufa”.

Bara la Afrika,Mama Afrika,kama navyopendelea kuliita,nikifahamu kuwa Wagiriki walilipa jina Afrika takribani kati ya 500-400 kabla ya kristo.Naongelea kipindi ambacho Wagiriki ambao walikuwa wameenda Pyrrus,ambao walikuwa wameingia Misri kupitia njia ya Leba(ambayo sasa inaitwa Libya) na kuanzisha vijiji vyao vidogo vidogo vilivyojitenga na kuviita Afrika kabla bara halijagawanywa na wakoloni.Naongelea ardhi yenye maili za mraba milioni 11.3 au 11.5,ambamo kwa mara ya kwanza dhana ya Mungu mwanaume na mungu mwanamke Nut anaonyeshwa kama mungu wa anga.Kama ishara Mungu Geb,mungu wa ardhi aliishi ndani ya kanisa dogo katikati ya hekalu la Hathor.Mwanamke wa Kiafrika analizaa jua asubuhi kupitia uke wake na jioni kulipokea tena kupitia mdomo wake.Hii inaonyesha mzunguko kamili wa dunia,zamani kabla dunia haijawa na mwanzo na mwisho.Hawa Waafrika katika bonde la mto Nile walifanya zaidi ya hili.Walitupa mungu Osiris ambapo watu walienda kila mwaka walienda kuhiji,zamani kabla hakujawa na ukuta wa kulia(wailing wall) Palestina au hadithi ya kufikirika ya yesu kuzaliwa Bethlehem.

Ni Afrika iliyozaa Hadzart Bilal ibn Rahab,ambaye alimfundisha Mohamed ibn Abdullah,ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika katika lugha yake.Hadzart Bilal ibn Rahab alikuja kuwa mkuu wa balozi za kiislam chini ya Mohamed ibn Abdullah,Omar na Abu Bakr.Nafikiri tunahitaji kujua historia kabla ya kunukuu maandiko ya kwenye vitabu vya dini.

Kulikuwa na hadithi ya kufikirika kwamba Afrika ni nyumbani kwa watu wanaokulana wenyewe kwa wenyewe na wamisionari.Natamani tungewala wamisionari,hatujachelewa sana!Inabidi kuelewa kwamba hii Afrika tunayoiongelea pia iliasisi vyuo vikuu bora vya Ulaya,na kwanza chuo kikuu cha Salamanca cha Hispania.Afrika ambayo labda huijui ilimzaa Zinjathropus Boisei kutoka kwa Waafrika wa Kenya!Familia ya Leakey,Louis na Mary walimkadiria kuwa na miaka milioni 1.7,Adam ni miaka 4000-5000 iliyopita.Afrika usiyoijua ilimzaa Lucy kule Ethiopia miaka milioni 3.2 ,na wote wapo kwenye makumbusho ya Kenya na Ethiopia.Na baadhi yetu bado tunaona aibu kuwa Waafrika!baadhi yetu tunalipa fedha kutengeneza pua zetu,kuchemsha na kuchoma nywele zetu na mambo yote ya namna hiyo,kwa sababu hatuijui hii Afrika,tunaijua Afrika ya biashara ya utumwa ya John Hawkins kutoka London na kutoka kwenye nyimbo nyingine.Ndio,hiyo ni awamu ya Afrika,Hakika,utumwa ni awamu ya maisha yaliyopita,lakini utumwa ni kipande kidogo kutoka 640 baada ya kristo kutoka kwa waarabu ,1506 kutoka kwa wazungu na hadi sasa kama kinyume na ninachoongelea;ni kidogo kwa ulinganifu.

Kama natamani kurudi Afrika,sio tu wakati tunafanya unajimu,uhandisi katika kujenga mapiramidi na kadhalika,lakini wakati tulipoupa ulimwengu dhana muhimu ya maadili.”Sijaua mwanaume au mwanamke” Hii inatoka kwenye makatazo ya Muungu mwanamke Ma’at.Utabaini kuwa kila wakati tukiongelea kuhusu mfumo wa utoaji haki na haki tunaye mwanamke wa Kiafrika akiwakilisha mzani wa utoaji haki.Majibu kwa makatazo ambayo yalitakiwa yaeleze “usimseme vibaya mama na baba yako ,usiue mwanamke au mwanaume,usiwafiche watu ujuzi na uwezo wako”. Ni maandiko ambayo ushawahi kuasikia sababu walisema kuwa mtu Fulani anayeitwa Musa aliyagundua maelfu ya miaka baadae kwenye Mlima Sinai.

Lakini bado walisema Musa alizaliwa Goshen.Hii ni Goshen iliyopo Misri kutoka na maandiko ya torati au agano la kale katika kitabu cha kutoka.Musa alipewa mafunzo,na kama alizaliwa na kuishi kule(kati ya mwaka mmoja hadi miaka themanini na tano),kulingana na biblia yako,hivyo basi lazima alisoma hili kwa sababu alipewa mafunzo kwenye grand lodge,kama alienda grand lodge akiwa na miaka saba hivyo hakutoka mpaka alipokuwa na miaka arobaini na saba kwa sababu ilichukua miaka arobaini kumtengeneza kuhani katika fani zote.Hivo basi,Musa hakuwa isipokuwa nakala ya makuhani wa Kimisri na mafunzo ya mfumo wa hadithi za Kimisri.Hawa Waafrika walewale waliotupa dhana ya Mungu mmoja.Alikuwa yule Amenhotep IV ambaye baadae alibadilisha jina na kuwa Akhneton,aliyetupa dhana ya Mungu pekee aitwaye Aten.Akhneton alifariki zamani kabla ya kuzaliwa kwa Musa.Hivi inawezekana mtu kuja Uingereza,kusoma chekechea hapa,shule ya msingi hapa,aende chuo hapa na kamwe hukuwahi kuusikia wimbo wa Taifa wa Uingereza,mkataba wa magna carta au sheria ya malkia Anne?inawezekana?kama ilivyo kwa Musa,azaliwe Misri na hakuwahi kusikia kuhusu Akhneton?

Wakati mmoja wa wanaoitwa wanafalsafa wa kwanza kwenda Misri,tunamuona kabla ya 640 kabla ya kristo,wakati ambapo alitakiwa awe ameshatoa andiko lake la kifalsafa,lakini yupo Misri.Kutoka Socrates hadi Aristotle(wale wanaoitwa wanafalsafa baada ya Socrates),kila mmoja wao aliishi miaka kadhaa Misri,na wazi mmoja ambaye hakuja sababu alikuwa ni zao la Plato alikuwa Socrates.

Hiyo ni Afrika unayoijua,haiwezi kuwa,vinginevyo msingeweza kuwa mnawatukuza watawala wenu,mnerudi kwenye elimu yenu ya kale na kuwa watawala wenu wenyewe mnaojitawala,angalau hata kama sio kimatendo basi kimawazo.Ni vigumu kwa sababu utumwa unatuletea historia iliyoandikwa na mkoloni kwa ajili ya mtawaliwa ilia some na aburudike.Mtawaliwa anapoangalia kila upande na kukuta kwamba hata mungu anaongea kutoka katika moyo wa mtawala,mtawaliwa huwa na mashaka na mungu.Maslahi ya mungu ni yapi katika yote haya?Sio Mwafrika aliyeandika katika kitabu cha Solomoni 1:1-9 na unapofika mstari wa 8 na 9 inasema “enyi mabinti wa Kanaan msiniangalie kwa sababu mimi ni mweusi,kwa sababu ni mrembo.Mama yangu aliniweka kwenye shamba la mizabibu lakini dada yangu aliwekwa ndani” Ndio maana malkia wa Sheba alibadilika na kuwa mweusi.Nilidhani kuwa ni kwa sababu baba na mama yake walikuwa weusi! Lakini unakuta hata kwenye biblia kuna uongo,ubaguzi wa rangi na yote hayo.Kama vile hatukuwa na biblia.tuna “The Book of the Dead” ambacho kilibadilishwa jina hapa London mwaka 1895 kutoka jina lake la awali.Kilikuwa kinaitwa “The Book of Coming Forth by Day and Night”.Tuna kitabu kinaitwa “The Book of the Divines”,”The Book of Judgment” “The Heart of Judgment” na kazi nyingine za namna hiyo ambazo zilikuwepo kabla ya agano la kale na kabala ya kiyahudi kwa maelfu ya miaka.

Waafrika walitupa dhana inayopinga mauaji.Mungu mwanamke Auset ambaye Wagiriki walimuita Isis,na mwanae Heru ambaye Wagiriki walimuita Horus na miungu wote waliona mauaji ya Osiris yaliyofanywa na kaka yake Seth.Mauaji yaliyopita mauaji ya Kain na Abel kwa maelfu ya miaka kuanzia kwenye kisiwa cha Angelica hadi kwenye hekalu la mungu Horus,ukienda mbele zaidi utaona uzazi bikra(virgin birth) na utungwaji mimba bila kukutana kimwili(immaculate conception).Ni hapa utakapoona igizo ambalo lilikuwepo kabla ya uwepo wa nchi inayoitwa Ugiriki likionyesha Horus akimuua baba yake mdogo kwa kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake,akionyeshwa baba yake mdogo kama kiboko kwa ishara(symbolically).

Afrika niliyoiongelea,unahitaji kuijua,na hakuna atakayekufanya mtumwa baada ya kuiona.Marekani kuna msemo unasema”kupoteza ufahamu ni kitu kibaya”.Inasemwa wakati wote kwenye TV na watu wanaojiita “The United College Fund” unaweza kupoteza ufahamu wako katika hilo,na kwa kutumia neno “negro” inamaanisha hawana ufahamu,kwa sababu nimekuwa nikimtafuta “negro” na sijampata kwa miaka na miaka.Kwa sababu mimi sio Mreno,sitengenezi “negro” wala “negroland” Mimi ni Mwafrika,na hilo ni neno inabidi tupambane nalo kwa sababu limetoka kwa Wagiriki.Nadhani baadhi wanasema lina mfananio mzuri na sisi.Kwa hiyo nawaombeni muda wote kubeba kioo,uwe mwanaume au mwanamke,kwa ajili ya kujiangalia kila siku.Halafu uwe na hisia nzuri kuhusu sura unayoiona,nywele ulizonazo na kila umbo la kupendeza la mwili ulionao.Sijui kuhusu nyinyi,kaka zangu,lakini ninapoangalia sura ya yule mwanamke wa Kiafrika,Naona pepo.



Sasa kaka,sababu wewe umetuleta maandiko ya mtu huyu,mimi kuna maswali naomba unijibu badala yake.

1. Kwa mababu zetu mwaka ulikuwa una miezi mingapi ?

2. Siku mpya ilikuwa inabadilika saa ngapi ?

3. Mababi zetu walijuaje kama jambo hili ni baya na hili ni zuri ?

Hayo ni maswali machache tu ya kuanzia.

Kuna kitu tubakiwa tukijue kwamba "UNAWEZA KUKOSEA KATIKA KUKOSOA"

Naanzia hapa
 
Machi 6-8 1986 Dr. Ben Yosef Jochannan alifanya mhadhara jijini London kwa Jumuiya ya Waafrika (watokao Africa na Carribean).Haya yalikuwa maneno yake:

Kwanza nitatoa shukrani zangu kwenu kwa kunikaribisha hapa,na naomba mfatilie mjadala huu kwa umakini mkubwa,sababu kama mjuavyo najulikana kwa kuwa mtata.Mimi ni mtata sio kwa sababu mafundisho yangu yana tatizo bali ni kwa sababu naupa changamoto utawala wa kifikra wa Magharibi.

Afrika ikiwa kama kichwa cha mjadala wangu haiwezi kuongelewa katika muktadha wa Adam na Eva,sababu zamani kabla hawajawa na Adam na Eva ilikuwepo Afrika na Waafrika wakiwa na dhana zilizodumu kabla ya Abraham.Mapiramidi yote ya Afrika na sio yale yaliyopo tu Misri bali yale yaliyopo Sudan na mawili yaliyopo kaskazini ya Ethiopia(ambayo Uingereza na Mkutano wa Berlin waliamua kuyaweka Sudan ya kusini),yalijengwa maelfu ya miaka kabla majina Adam na Eva kutajwa sehemu yoyote katika sayari hii.Unapokuja katika kuzaliwa kwa Abraham,wakati huo huo Waafrika waishio katika bonde la mto Nile walikuwa katika kipindi cha nasaba (dynasty) ya 13,wakati huo hakuna Adam na Eva kwa sababu Waebrania walikupa dhana ya Adam na Eva.Wengi wenu mnaamini hii dhana ina ukweli badala tu ni Serikali inayoendeshwa kwa mfumo wa dini.

Kuiongelea Afrika itakubidi ubadili dhana yako ya Bikira Maria na kuelewa kuwa si chochote isipokuwa ni nakala (copy) ya Isis na mume wake mungu Osiris. N a pia itakubidi uende kwenye bonde la mto Nile kwenye mahekalu na kuona kuwa hii ni maelfu ya miaka kabla ya Westminster Abbey na Vatican.Natumia bonde la mto Nile mahsusi kwa sababu kumbukumbu za kale bado zipo katika mfumo wa minara,mahekalu na miundo mingine,bila shaka,kuna mengi yameibiwa ambayo yapo hapa London,Berlin na maeneo mengine.

Mababu zako waliupa ulimwengu kalenda miaka 10,000 kabla ya yesu.Hiyo ni miaka 8,000kabla ya Adam na Eva.Mababu zako walibadilisha mfumo wa tarehe kwa sababu ya uelewa wao wa hesabu za kiunajimu.Ni sayansi ya unajimu inayotoa uwezo wa kusoma kalenda.Dhana inajieleza yenyewe,kalenda inayotumia mfumo wa jua inayoonyesha uhusiano wa mwezi na jua ambayo inatupa msingi wa kalenda ya wakti wa sasa.Na nitasema kuwa haikuwepo jamii hata moja ya Ulaya iliyokuwepo katika kipindi hicho.Mwandishi wa kwanza wa Ulaya,Homer alizaliwa na baadae kujua kusoma na kuandika kutokana na mafundisho aliyopewa na Waafrika,yeye pia alianza kuthibitisha ushahidi ambao mababu zako walikuwa nao kwa kueleza kuwa hata miungu ya Ulaya,mahsusi Ugiriki,ambaye kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Pyrrhus,alitoka Ethiopia.

Nina uhakika kuwa kati yenu ambao mmesoma vyuoni,kama sio hapa Uingereza,sehemu nyingine,mnajua kuwa nanukuu kutoka kwenye kazi mbili za Homer,Iliad na Odyssey ambazo ziliipeleka Ulaya na Uingereza kwenye ustaarabu.Mwafrika ambaye ni lazima tumuongelee ni Mwafrika ambaye alisababisha watu waelewe sayansi,madawa,sharia,uhandisi na kadhalika.Ni kawaida hapa katika vyuo vikuu kujikita katika madawa kama vile Sanaa ya madawa ilitoka kwa Mgiriki anayeitwa Hippocrates.Hatuna Homer hadi takribani mwaka 333 kabla ya yesu.Bado hatuhitaji kumbukumbu yoyote zaidi ya Hippocrates mwenyewe kujua kinachofundishwa hapa kwenye vyuo vikuu ni uongo.

Mtu anatakiwa kutambua kwamba ,hata Hippocrates mwenyewe katika kile kinachojulikana kama “kiapo cha Hippocrates” aliandika kwamba alikuwa na mungu aliyeitwa Escalipius,jina la Kigiriki lenye maana Mungu Imhotep.Imhotep alifariki miaka 2500 kabla ya kuzaliwa kwa Hippocrates.Imhotep ni mtu wa kwanza kujulikana kuwa na vipaji vingi(multigenius) zaidi ya yule mnamuita Michaelangelo.Hatuna Michaelangelo hadi mwaka 1609 na hajulikani mpaka alipopewa kazi na papa Julius II,ambaye alimuagiza kuchora michoro kwenye paa la kanisa la Sistine.Michaelangelo alimtumia binamu yake na ndugu zake wengine kama mifano iliyotumika kama baadhi ya wahusika wa kibiblia katika michoro yake.

Msingi wa uhandisi ulianzishwa na Imhotep.Alijenga jengo la kwanza kwa kutumia mawe,hilo jengo bado limesimama sehemu inaitwa Sakkara,mwendo wa chini ya saa moja kaskazini magharibi mwa ambayo sasa inaitwa Cairo.Na hapa utaona Grand Lodge ya Farao Djoser iliyopo Sakkara.Jengo lile lilijengwa katika nasaba ya tatu.Imhotep alikuwa ni mwanadamu aliyetupa msemo “kula,kunywa na kuwa na furaha kwa sababu kesho lazima tutakufa”.

Bara la Afrika,Mama Afrika,kama navyopendelea kuliita,nikifahamu kuwa Wagiriki walilipa jina Afrika takribani kati ya 500-400 kabla ya kristo.Naongelea kipindi ambacho Wagiriki ambao walikuwa wameenda Pyrrus,ambao walikuwa wameingia Misri kupitia njia ya Leba(ambayo sasa inaitwa Libya) na kuanzisha vijiji vyao vidogo vidogo vilivyojitenga na kuviita Afrika kabla bara halijagawanywa na wakoloni.Naongelea ardhi yenye maili za mraba milioni 11.3 au 11.5,ambamo kwa mara ya kwanza dhana ya Mungu mwanaume na mungu mwanamke Nut anaonyeshwa kama mungu wa anga.Kama ishara Mungu Geb,mungu wa ardhi aliishi ndani ya kanisa dogo katikati ya hekalu la Hathor.Mwanamke wa Kiafrika analizaa jua asubuhi kupitia uke wake na jioni kulipokea tena kupitia mdomo wake.Hii inaonyesha mzunguko kamili wa dunia,zamani kabla dunia haijawa na mwanzo na mwisho.Hawa Waafrika katika bonde la mto Nile walifanya zaidi ya hili.Walitupa mungu Osiris ambapo watu walienda kila mwaka walienda kuhiji,zamani kabla hakujawa na ukuta wa kulia(wailing wall) Palestina au hadithi ya kufikirika ya yesu kuzaliwa Bethlehem.

Ni Afrika iliyozaa Hadzart Bilal ibn Rahab,ambaye alimfundisha Mohamed ibn Abdullah,ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika katika lugha yake.Hadzart Bilal ibn Rahab alikuja kuwa mkuu wa balozi za kiislam chini ya Mohamed ibn Abdullah,Omar na Abu Bakr.Nafikiri tunahitaji kujua historia kabla ya kunukuu maandiko ya kwenye vitabu vya dini.

Kulikuwa na hadithi ya kufikirika kwamba Afrika ni nyumbani kwa watu wanaokulana wenyewe kwa wenyewe na wamisionari.Natamani tungewala wamisionari,hatujachelewa sana!Inabidi kuelewa kwamba hii Afrika tunayoiongelea pia iliasisi vyuo vikuu bora vya Ulaya,na kwanza chuo kikuu cha Salamanca cha Hispania.Afrika ambayo labda huijui ilimzaa Zinjathropus Boisei kutoka kwa Waafrika wa Kenya!Familia ya Leakey,Louis na Mary walimkadiria kuwa na miaka milioni 1.7,Adam ni miaka 4000-5000 iliyopita.Afrika usiyoijua ilimzaa Lucy kule Ethiopia miaka milioni 3.2 ,na wote wapo kwenye makumbusho ya Kenya na Ethiopia.Na baadhi yetu bado tunaona aibu kuwa Waafrika!baadhi yetu tunalipa fedha kutengeneza pua zetu,kuchemsha na kuchoma nywele zetu na mambo yote ya namna hiyo,kwa sababu hatuijui hii Afrika,tunaijua Afrika ya biashara ya utumwa ya John Hawkins kutoka London na kutoka kwenye nyimbo nyingine.Ndio,hiyo ni awamu ya Afrika,Hakika,utumwa ni awamu ya maisha yaliyopita,lakini utumwa ni kipande kidogo kutoka 640 baada ya kristo kutoka kwa waarabu ,1506 kutoka kwa wazungu na hadi sasa kama kinyume na ninachoongelea;ni kidogo kwa ulinganifu.

Kama natamani kurudi Afrika,sio tu wakati tunafanya unajimu,uhandisi katika kujenga mapiramidi na kadhalika,lakini wakati tulipoupa ulimwengu dhana muhimu ya maadili.”Sijaua mwanaume au mwanamke” Hii inatoka kwenye makatazo ya Muungu mwanamke Ma’at.Utabaini kuwa kila wakati tukiongelea kuhusu mfumo wa utoaji haki na haki tunaye mwanamke wa Kiafrika akiwakilisha mzani wa utoaji haki.Majibu kwa makatazo ambayo yalitakiwa yaeleze “usimseme vibaya mama na baba yako ,usiue mwanamke au mwanaume,usiwafiche watu ujuzi na uwezo wako”. Ni maandiko ambayo ushawahi kuasikia sababu walisema kuwa mtu Fulani anayeitwa Musa aliyagundua maelfu ya miaka baadae kwenye Mlima Sinai.

Lakini bado walisema Musa alizaliwa Goshen.Hii ni Goshen iliyopo Misri kutoka na maandiko ya torati au agano la kale katika kitabu cha kutoka.Musa alipewa mafunzo,na kama alizaliwa na kuishi kule(kati ya mwaka mmoja hadi miaka themanini na tano),kulingana na biblia yako,hivyo basi lazima alisoma hili kwa sababu alipewa mafunzo kwenye grand lodge,kama alienda grand lodge akiwa na miaka saba hivyo hakutoka mpaka alipokuwa na miaka arobaini na saba kwa sababu ilichukua miaka arobaini kumtengeneza kuhani katika fani zote.Hivo basi,Musa hakuwa isipokuwa nakala ya makuhani wa Kimisri na mafunzo ya mfumo wa hadithi za Kimisri.Hawa Waafrika walewale waliotupa dhana ya Mungu mmoja.Alikuwa yule Amenhotep IV ambaye baadae alibadilisha jina na kuwa Akhneton,aliyetupa dhana ya Mungu pekee aitwaye Aten.Akhneton alifariki zamani kabla ya kuzaliwa kwa Musa.Hivi inawezekana mtu kuja Uingereza,kusoma chekechea hapa,shule ya msingi hapa,aende chuo hapa na kamwe hukuwahi kuusikia wimbo wa Taifa wa Uingereza,mkataba wa magna carta au sheria ya malkia Anne?inawezekana?kama ilivyo kwa Musa,azaliwe Misri na hakuwahi kusikia kuhusu Akhneton?

Wakati mmoja wa wanaoitwa wanafalsafa wa kwanza kwenda Misri,tunamuona kabla ya 640 kabla ya kristo,wakati ambapo alitakiwa awe ameshatoa andiko lake la kifalsafa,lakini yupo Misri.Kutoka Socrates hadi Aristotle(wale wanaoitwa wanafalsafa baada ya Socrates),kila mmoja wao aliishi miaka kadhaa Misri,na wazi mmoja ambaye hakuja sababu alikuwa ni zao la Plato alikuwa Socrates.

Hiyo ni Afrika unayoijua,haiwezi kuwa,vinginevyo msingeweza kuwa mnawatukuza watawala wenu,mnerudi kwenye elimu yenu ya kale na kuwa watawala wenu wenyewe mnaojitawala,angalau hata kama sio kimatendo basi kimawazo.Ni vigumu kwa sababu utumwa unatuletea historia iliyoandikwa na mkoloni kwa ajili ya mtawaliwa ilia some na aburudike.Mtawaliwa anapoangalia kila upande na kukuta kwamba hata mungu anaongea kutoka katika moyo wa mtawala,mtawaliwa huwa na mashaka na mungu.Maslahi ya mungu ni yapi katika yote haya?Sio Mwafrika aliyeandika katika kitabu cha Solomoni 1:1-9 na unapofika mstari wa 8 na 9 inasema “enyi mabinti wa Kanaan msiniangalie kwa sababu mimi ni mweusi,kwa sababu ni mrembo.Mama yangu aliniweka kwenye shamba la mizabibu lakini dada yangu aliwekwa ndani” Ndio maana malkia wa Sheba alibadilika na kuwa mweusi.Nilidhani kuwa ni kwa sababu baba na mama yake walikuwa weusi! Lakini unakuta hata kwenye biblia kuna uongo,ubaguzi wa rangi na yote hayo.Kama vile hatukuwa na biblia.tuna “The Book of the Dead” ambacho kilibadilishwa jina hapa London mwaka 1895 kutoka jina lake la awali.Kilikuwa kinaitwa “The Book of Coming Forth by Day and Night”.Tuna kitabu kinaitwa “The Book of the Divines”,”The Book of Judgment” “The Heart of Judgment” na kazi nyingine za namna hiyo ambazo zilikuwepo kabla ya agano la kale na kabala ya kiyahudi kwa maelfu ya miaka.

Waafrika walitupa dhana inayopinga mauaji.Mungu mwanamke Auset ambaye Wagiriki walimuita Isis,na mwanae Heru ambaye Wagiriki walimuita Horus na miungu wote waliona mauaji ya Osiris yaliyofanywa na kaka yake Seth.Mauaji yaliyopita mauaji ya Kain na Abel kwa maelfu ya miaka kuanzia kwenye kisiwa cha Angelica hadi kwenye hekalu la mungu Horus,ukienda mbele zaidi utaona uzazi bikra(virgin birth) na utungwaji mimba bila kukutana kimwili(immaculate conception).Ni hapa utakapoona igizo ambalo lilikuwepo kabla ya uwepo wa nchi inayoitwa Ugiriki likionyesha Horus akimuua baba yake mdogo kwa kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake,akionyeshwa baba yake mdogo kama kiboko kwa ishara(symbolically).

Afrika niliyoiongelea,unahitaji kuijua,na hakuna atakayekufanya mtumwa baada ya kuiona.Marekani kuna msemo unasema”kupoteza ufahamu ni kitu kibaya”.Inasemwa wakati wote kwenye TV na watu wanaojiita “The United College Fund” unaweza kupoteza ufahamu wako katika hilo,na kwa kutumia neno “negro” inamaanisha hawana ufahamu,kwa sababu nimekuwa nikimtafuta “negro” na sijampata kwa miaka na miaka.Kwa sababu mimi sio Mreno,sitengenezi “negro” wala “negroland” Mimi ni Mwafrika,na hilo ni neno inabidi tupambane nalo kwa sababu limetoka kwa Wagiriki.Nadhani baadhi wanasema lina mfananio mzuri na sisi.Kwa hiyo nawaombeni muda wote kubeba kioo,uwe mwanaume au mwanamke,kwa ajili ya kujiangalia kila siku.Halafu uwe na hisia nzuri kuhusu sura unayoiona,nywele ulizonazo na kila umbo la kupendeza la mwili ulionao.Sijui kuhusu nyinyi,kaka zangu,lakini ninapoangalia sura ya yule mwanamke wa Kiafrika,Naona pepo.


Cha kusikitisha ni kuwa muhudhirishaji wa huu muhadhara amelitumia tamko "Zamani" kama kichaka.

Alitakiwa anaposema zamani basi awe amedhibiti muda kwa maana tarehe,kielimu kama hujadhibiti muda na mfano wake sisi tunasema ni kulalama.

Kama anasema ya kuwa binadamuwa kwanza hakuwa ni Adamu,basi atuambie binadamu wa kwanza alikuwa bani nq alikuwa na sifa gani na utamaduni wake ulikuwaje ?

Lakini kuendelea kukariri zamani zamani hizo zina kuwa "Visasili vya muafrika na ngano nyinginezo".
 
Sasa kaka,sababu wewe umetuleta maandiko ya mtu huyu,mimi kuna maswali naomba unijibu badala yake.

1. Kwa mababu zetu mwaka ulikuwa una miezi mingapi ?

2. Siku mpya ilikuwa inabadilika saa ngapi ?

3. Mababi zetu walijuaje kama jambo hili ni baya na hili ni zuri ?

Hayo ni maswali machache tu ya kuanzia.

Kuna kitu tubakiwa tukijue kwamba "UNAWEZA KUKOSEA KATIKA KUKOSOA"

Naanzia hapa
1. mwaka ulikuwa na miezi kumi na tatu

2. hapa sina jibu la haraka,mpaka nikachimbe kwa ancestors kwanza

3. natural instincts,ndio maana kwenye "the egyption book of the dead" kuna makatazo 42 ambayo kila mtu alitakiwa kutoyafanya,ancestors walilay down zile moral teachings ili kuwaweka watu kwenye mstari,bahati mbaya,wakristo na waislamu miaka elfu kadhaa baadae walicopy na kusema ni maandiko ya mungu
 
Cha kusikitisha ni kuwa muhudhirishaji wa huu muhadhara amelitumia tamko "Zamani" kama kichaka.

Alitakiwa anaposema zamani basi awe amedhibiti muda kwa maana tarehe,kielimu kama hujadhibiti muda na mfano wake sisi tunasema ni kulalama.

Kama anasema ya kuwa binadamuwa kwanza hakuwa ni Adamu,basi atuambie binadamu wa kwanza alikuwa bani nq alikuwa na sifa gani na utamaduni wake ulikuwaje ?

Lakini kuendelea kukariri zamani zamani hizo zina kuwa "Visasili vya muafrika na ngano nyinginezo".
kabla hatujafika huko mbali unakubali kuwa kabla ya adam na eva wa kwenye biblia kulikuwepo watu wanaishi tena kwa miaka zaidi ya 8000 kabla ya akina adm na eva wa kwenye biblia?
 
Machi 6-8 1986 Dr. Ben Yosef Jochannan alifanya mhadhara jijini London kwa Jumuiya ya Waafrika (watokao Africa na Carribean).Haya yalikuwa maneno yake:

Kwanza nitatoa shukrani zangu kwenu kwa kunikaribisha hapa,na naomba mfatilie mjadala huu kwa umakini mkubwa,sababu kama mjuavyo najulikana kwa kuwa mtata.Mimi ni mtata sio kwa sababu mafundisho yangu yana tatizo bali ni kwa sababu naupa changamoto utawala wa kifikra wa Magharibi.

Afrika ikiwa kama kichwa cha mjadala wangu haiwezi kuongelewa katika muktadha wa Adam na Eva,sababu zamani kabla hawajawa na Adam na Eva ilikuwepo Afrika na Waafrika wakiwa na dhana zilizodumu kabla ya Abraham.Mapiramidi yote ya Afrika na sio yale yaliyopo tu Misri bali yale yaliyopo Sudan na mawili yaliyopo kaskazini ya Ethiopia(ambayo Uingereza na Mkutano wa Berlin waliamua kuyaweka Sudan ya kusini),yalijengwa maelfu ya miaka kabla majina Adam na Eva kutajwa sehemu yoyote katika sayari hii.Unapokuja katika kuzaliwa kwa Abraham,wakati huo huo Waafrika waishio katika bonde la mto Nile walikuwa katika kipindi cha nasaba (dynasty) ya 13,wakati huo hakuna Adam na Eva kwa sababu Waebrania walikupa dhana ya Adam na Eva.Wengi wenu mnaamini hii dhana ina ukweli badala tu ni Serikali inayoendeshwa kwa mfumo wa dini.

Kuiongelea Afrika itakubidi ubadili dhana yako ya Bikira Maria na kuelewa kuwa si chochote isipokuwa ni nakala (copy) ya Isis na mume wake mungu Osiris. N a pia itakubidi uende kwenye bonde la mto Nile kwenye mahekalu na kuona kuwa hii ni maelfu ya miaka kabla ya Westminster Abbey na Vatican.Natumia bonde la mto Nile mahsusi kwa sababu kumbukumbu za kale bado zipo katika mfumo wa minara,mahekalu na miundo mingine,bila shaka,kuna mengi yameibiwa ambayo yapo hapa London,Berlin na maeneo mengine.

Mababu zako waliupa ulimwengu kalenda miaka 10,000 kabla ya yesu.Hiyo ni miaka 8,000kabla ya Adam na Eva.Mababu zako walibadilisha mfumo wa tarehe kwa sababu ya uelewa wao wa hesabu za kiunajimu.Ni sayansi ya unajimu inayotoa uwezo wa kusoma kalenda.Dhana inajieleza yenyewe,kalenda inayotumia mfumo wa jua inayoonyesha uhusiano wa mwezi na jua ambayo inatupa msingi wa kalenda ya wakti wa sasa.Na nitasema kuwa haikuwepo jamii hata moja ya Ulaya iliyokuwepo katika kipindi hicho.Mwandishi wa kwanza wa Ulaya,Homer alizaliwa na baadae kujua kusoma na kuandika kutokana na mafundisho aliyopewa na Waafrika,yeye pia alianza kuthibitisha ushahidi ambao mababu zako walikuwa nao kwa kueleza kuwa hata miungu ya Ulaya,mahsusi Ugiriki,ambaye kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Pyrrhus,alitoka Ethiopia.

Nina uhakika kuwa kati yenu ambao mmesoma vyuoni,kama sio hapa Uingereza,sehemu nyingine,mnajua kuwa nanukuu kutoka kwenye kazi mbili za Homer,Iliad na Odyssey ambazo ziliipeleka Ulaya na Uingereza kwenye ustaarabu.Mwafrika ambaye ni lazima tumuongelee ni Mwafrika ambaye alisababisha watu waelewe sayansi,madawa,sharia,uhandisi na kadhalika.Ni kawaida hapa katika vyuo vikuu kujikita katika madawa kama vile Sanaa ya madawa ilitoka kwa Mgiriki anayeitwa Hippocrates.Hatuna Homer hadi takribani mwaka 333 kabla ya yesu.Bado hatuhitaji kumbukumbu yoyote zaidi ya Hippocrates mwenyewe kujua kinachofundishwa hapa kwenye vyuo vikuu ni uongo.

Mtu anatakiwa kutambua kwamba ,hata Hippocrates mwenyewe katika kile kinachojulikana kama “kiapo cha Hippocrates” aliandika kwamba alikuwa na mungu aliyeitwa Escalipius,jina la Kigiriki lenye maana Mungu Imhotep.Imhotep alifariki miaka 2500 kabla ya kuzaliwa kwa Hippocrates.Imhotep ni mtu wa kwanza kujulikana kuwa na vipaji vingi(multigenius) zaidi ya yule mnamuita Michaelangelo.Hatuna Michaelangelo hadi mwaka 1609 na hajulikani mpaka alipopewa kazi na papa Julius II,ambaye alimuagiza kuchora michoro kwenye paa la kanisa la Sistine.Michaelangelo alimtumia binamu yake na ndugu zake wengine kama mifano iliyotumika kama baadhi ya wahusika wa kibiblia katika michoro yake.

Msingi wa uhandisi ulianzishwa na Imhotep.Alijenga jengo la kwanza kwa kutumia mawe,hilo jengo bado limesimama sehemu inaitwa Sakkara,mwendo wa chini ya saa moja kaskazini magharibi mwa ambayo sasa inaitwa Cairo.Na hapa utaona Grand Lodge ya Farao Djoser iliyopo Sakkara.Jengo lile lilijengwa katika nasaba ya tatu.Imhotep alikuwa ni mwanadamu aliyetupa msemo “kula,kunywa na kuwa na furaha kwa sababu kesho lazima tutakufa”.

Bara la Afrika,Mama Afrika,kama navyopendelea kuliita,nikifahamu kuwa Wagiriki walilipa jina Afrika takribani kati ya 500-400 kabla ya kristo.Naongelea kipindi ambacho Wagiriki ambao walikuwa wameenda Pyrrus,ambao walikuwa wameingia Misri kupitia njia ya Leba(ambayo sasa inaitwa Libya) na kuanzisha vijiji vyao vidogo vidogo vilivyojitenga na kuviita Afrika kabla bara halijagawanywa na wakoloni.Naongelea ardhi yenye maili za mraba milioni 11.3 au 11.5,ambamo kwa mara ya kwanza dhana ya Mungu mwanaume na mungu mwanamke Nut anaonyeshwa kama mungu wa anga.Kama ishara Mungu Geb,mungu wa ardhi aliishi ndani ya kanisa dogo katikati ya hekalu la Hathor.Mwanamke wa Kiafrika analizaa jua asubuhi kupitia uke wake na jioni kulipokea tena kupitia mdomo wake.Hii inaonyesha mzunguko kamili wa dunia,zamani kabla dunia haijawa na mwanzo na mwisho.Hawa Waafrika katika bonde la mto Nile walifanya zaidi ya hili.Walitupa mungu Osiris ambapo watu walienda kila mwaka walienda kuhiji,zamani kabla hakujawa na ukuta wa kulia(wailing wall) Palestina au hadithi ya kufikirika ya yesu kuzaliwa Bethlehem.

Ni Afrika iliyozaa Hadzart Bilal ibn Rahab,ambaye alimfundisha Mohamed ibn Abdullah,ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika katika lugha yake.Hadzart Bilal ibn Rahab alikuja kuwa mkuu wa balozi za kiislam chini ya Mohamed ibn Abdullah,Omar na Abu Bakr.Nafikiri tunahitaji kujua historia kabla ya kunukuu maandiko ya kwenye vitabu vya dini.

Kulikuwa na hadithi ya kufikirika kwamba Afrika ni nyumbani kwa watu wanaokulana wenyewe kwa wenyewe na wamisionari.Natamani tungewala wamisionari,hatujachelewa sana!Inabidi kuelewa kwamba hii Afrika tunayoiongelea pia iliasisi vyuo vikuu bora vya Ulaya,na kwanza chuo kikuu cha Salamanca cha Hispania.Afrika ambayo labda huijui ilimzaa Zinjathropus Boisei kutoka kwa Waafrika wa Kenya!Familia ya Leakey,Louis na Mary walimkadiria kuwa na miaka milioni 1.7,Adam ni miaka 4000-5000 iliyopita.Afrika usiyoijua ilimzaa Lucy kule Ethiopia miaka milioni 3.2 ,na wote wapo kwenye makumbusho ya Kenya na Ethiopia.Na baadhi yetu bado tunaona aibu kuwa Waafrika!baadhi yetu tunalipa fedha kutengeneza pua zetu,kuchemsha na kuchoma nywele zetu na mambo yote ya namna hiyo,kwa sababu hatuijui hii Afrika,tunaijua Afrika ya biashara ya utumwa ya John Hawkins kutoka London na kutoka kwenye nyimbo nyingine.Ndio,hiyo ni awamu ya Afrika,Hakika,utumwa ni awamu ya maisha yaliyopita,lakini utumwa ni kipande kidogo kutoka 640 baada ya kristo kutoka kwa waarabu ,1506 kutoka kwa wazungu na hadi sasa kama kinyume na ninachoongelea;ni kidogo kwa ulinganifu.

Kama natamani kurudi Afrika,sio tu wakati tunafanya unajimu,uhandisi katika kujenga mapiramidi na kadhalika,lakini wakati tulipoupa ulimwengu dhana muhimu ya maadili.”Sijaua mwanaume au mwanamke” Hii inatoka kwenye makatazo ya Muungu mwanamke Ma’at.Utabaini kuwa kila wakati tukiongelea kuhusu mfumo wa utoaji haki na haki tunaye mwanamke wa Kiafrika akiwakilisha mzani wa utoaji haki.Majibu kwa makatazo ambayo yalitakiwa yaeleze “usimseme vibaya mama na baba yako ,usiue mwanamke au mwanaume,usiwafiche watu ujuzi na uwezo wako”. Ni maandiko ambayo ushawahi kuasikia sababu walisema kuwa mtu Fulani anayeitwa Musa aliyagundua maelfu ya miaka baadae kwenye Mlima Sinai.

Lakini bado walisema Musa alizaliwa Goshen.Hii ni Goshen iliyopo Misri kutoka na maandiko ya torati au agano la kale katika kitabu cha kutoka.Musa alipewa mafunzo,na kama alizaliwa na kuishi kule(kati ya mwaka mmoja hadi miaka themanini na tano),kulingana na biblia yako,hivyo basi lazima alisoma hili kwa sababu alipewa mafunzo kwenye grand lodge,kama alienda grand lodge akiwa na miaka saba hivyo hakutoka mpaka alipokuwa na miaka arobaini na saba kwa sababu ilichukua miaka arobaini kumtengeneza kuhani katika fani zote.Hivo basi,Musa hakuwa isipokuwa nakala ya makuhani wa Kimisri na mafunzo ya mfumo wa hadithi za Kimisri.Hawa Waafrika walewale waliotupa dhana ya Mungu mmoja.Alikuwa yule Amenhotep IV ambaye baadae alibadilisha jina na kuwa Akhneton,aliyetupa dhana ya Mungu pekee aitwaye Aten.Akhneton alifariki zamani kabla ya kuzaliwa kwa Musa.Hivi inawezekana mtu kuja Uingereza,kusoma chekechea hapa,shule ya msingi hapa,aende chuo hapa na kamwe hukuwahi kuusikia wimbo wa Taifa wa Uingereza,mkataba wa magna carta au sheria ya malkia Anne?inawezekana?kama ilivyo kwa Musa,azaliwe Misri na hakuwahi kusikia kuhusu Akhneton?

Wakati mmoja wa wanaoitwa wanafalsafa wa kwanza kwenda Misri,tunamuona kabla ya 640 kabla ya kristo,wakati ambapo alitakiwa awe ameshatoa andiko lake la kifalsafa,lakini yupo Misri.Kutoka Socrates hadi Aristotle(wale wanaoitwa wanafalsafa baada ya Socrates),kila mmoja wao aliishi miaka kadhaa Misri,na wazi mmoja ambaye hakuja sababu alikuwa ni zao la Plato alikuwa Socrates.

Hiyo ni Afrika unayoijua,haiwezi kuwa,vinginevyo msingeweza kuwa mnawatukuza watawala wenu,mnerudi kwenye elimu yenu ya kale na kuwa watawala wenu wenyewe mnaojitawala,angalau hata kama sio kimatendo basi kimawazo.Ni vigumu kwa sababu utumwa unatuletea historia iliyoandikwa na mkoloni kwa ajili ya mtawaliwa ilia some na aburudike.Mtawaliwa anapoangalia kila upande na kukuta kwamba hata mungu anaongea kutoka katika moyo wa mtawala,mtawaliwa huwa na mashaka na mungu.Maslahi ya mungu ni yapi katika yote haya?Sio Mwafrika aliyeandika katika kitabu cha Solomoni 1:1-9 na unapofika mstari wa 8 na 9 inasema “enyi mabinti wa Kanaan msiniangalie kwa sababu mimi ni mweusi,kwa sababu ni mrembo.Mama yangu aliniweka kwenye shamba la mizabibu lakini dada yangu aliwekwa ndani” Ndio maana malkia wa Sheba alibadilika na kuwa mweusi.Nilidhani kuwa ni kwa sababu baba na mama yake walikuwa weusi! Lakini unakuta hata kwenye biblia kuna uongo,ubaguzi wa rangi na yote hayo.Kama vile hatukuwa na biblia.tuna “The Book of the Dead” ambacho kilibadilishwa jina hapa London mwaka 1895 kutoka jina lake la awali.Kilikuwa kinaitwa “The Book of Coming Forth by Day and Night”.Tuna kitabu kinaitwa “The Book of the Divines”,”The Book of Judgment” “The Heart of Judgment” na kazi nyingine za namna hiyo ambazo zilikuwepo kabla ya agano la kale na kabala ya kiyahudi kwa maelfu ya miaka.

Waafrika walitupa dhana inayopinga mauaji.Mungu mwanamke Auset ambaye Wagiriki walimuita Isis,na mwanae Heru ambaye Wagiriki walimuita Horus na miungu wote waliona mauaji ya Osiris yaliyofanywa na kaka yake Seth.Mauaji yaliyopita mauaji ya Kain na Abel kwa maelfu ya miaka kuanzia kwenye kisiwa cha Angelica hadi kwenye hekalu la mungu Horus,ukienda mbele zaidi utaona uzazi bikra(virgin birth) na utungwaji mimba bila kukutana kimwili(immaculate conception).Ni hapa utakapoona igizo ambalo lilikuwepo kabla ya uwepo wa nchi inayoitwa Ugiriki likionyesha Horus akimuua baba yake mdogo kwa kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake,akionyeshwa baba yake mdogo kama kiboko kwa ishara(symbolically).

Afrika niliyoiongelea,unahitaji kuijua,na hakuna atakayekufanya mtumwa baada ya kuiona.Marekani kuna msemo unasema”kupoteza ufahamu ni kitu kibaya”.Inasemwa wakati wote kwenye TV na watu wanaojiita “The United College Fund” unaweza kupoteza ufahamu wako katika hilo,na kwa kutumia neno “negro” inamaanisha hawana ufahamu,kwa sababu nimekuwa nikimtafuta “negro” na sijampata kwa miaka na miaka.Kwa sababu mimi sio Mreno,sitengenezi “negro” wala “negroland” Mimi ni Mwafrika,na hilo ni neno inabidi tupambane nalo kwa sababu limetoka kwa Wagiriki.Nadhani baadhi wanasema lina mfananio mzuri na sisi.Kwa hiyo nawaombeni muda wote kubeba kioo,uwe mwanaume au mwanamke,kwa ajili ya kujiangalia kila siku.Halafu uwe na hisia nzuri kuhusu sura unayoiona,nywele ulizonazo na kila umbo la kupendeza la mwili ulionao.Sijui kuhusu nyinyi,kaka zangu,lakini ninapoangalia sura ya yule mwanamke wa Kiafrika,Naona pepo.


Kwanza kabisa hapo kwa mtume amani iwe juu yake,amesema uongo wa wazi kabisa. Kwanza hakuna mtu anayeitwa "Bilal bin Rahab" sahihi ni "Bilal bin Rabah".

Halafu mlalamikaji hajatuambia kwamba swahaba Bilal Allah amridhie alimfundisha nini mtume amani ya Allah iwe juu yake ?

Halafu kwanza alitakiwa mtu huyu kabla hajaanza kulalamika angefanya utafiti wa kina sana,tatizo watu hawa huwa hata hawajui wapi au kwa nani akachukue elimu.


Mtume wetu sisi hakuwa na haja ya kujua wala kutaka msaada wa kusomeshwa na kuandika. Kutojua kwake kusoma na kuandika ndio ulikuwa alama au muujiza mmojawapo aliopewa na Allah aliyejuu.

Sasa atuambie au umsaidie kujibu swahaba Bilal bin Rabah alimfundisha nini mtume amani ya Allah iwe juu yake ?
 
kabla hatujafika huko mbali unakubali kuwa kabla ya adam na eva wa kwenye biblia kulikuwepo watu wanaishi tena kwa miaka zaidi ya 8000 kabla ya akina adm na eva wa kwenye biblia?


Sikubali.
 
Kwanza kabisa hapo kwa mtume amani iwe juu yake,amesema uongo wa wazi kabisa. Kwanza hakuna mtu anayeitwa "Bilal bin Rahab" sahihi ni "Bilal bin Rabah".

Halafu mlalamikaji hajatuambia kwamba swahaba Bilal Allah amridhie alimfundisha nini mtume amani ya Allah iwe juu yake ?

Halafu kwanza alitakiwa mtu huyu kabla hajaanza kulalamika angefanya utafiti wa kina sana,tatizo watu hawa huwa hata hawajui wapi au kwa nani akachukue elimu.


Mtume wetu sisi hakuwa na haja ya kujua wala kutaka msaada wa kusomeshwa na kuandika. Kutojua kwake kusoma na kuandika ndio ulikuwa alama au muujiza mmojawapo aliopewa na Allah aliyejuu.

Sasa atuambie au umsaidie kujibu swahaba Bilal bin Rabah alimfundisha nini mtume amani ya Allah iwe juu yake ?
mambo ya bilal alimfundisha nini ni thread in its own right
kabla hujasema kuhusu tafiti kwa GRAND MASTER DR.Ben,kwanza katafiti historia yake na ubobezi wake
 
Sikubali.
kama unaamini kuwa adam na eva ni watu wa kwanza hapa duniani,tuambie walikuwepo hapa duniani mwaka gani/waliumbwa na huyo yehova miaka mingapi iliyopita?
 
1. mwaka ulikuwa na miezi kumi na tatu

2. hapa sina jibu la haraka,mpaka nikachimbe kwa ancestors kwanza

3. natural instincts,ndio maana kwenye "the egyption book of the dead" kuna makatazo 42 ambayo kila mtu alitakiwa kutoyafanya,ancestors walilay down zile moral teachings ili kuwaweka watu kwenye mstari,bahati mbaya,wakristo na waislamu miaka elfu kadhaa baadae walicopy na kusema ni maandiko ya mungu


Kaka jibu la tatu nina lipinga sababu ya udhaifu wa binadamu ambao ni silika yake ya kutokukamilika. Je unafikiri sheria zao zilikuwa sawa ?

Je kipi kilikuwa kipimo chao cha ukamilifu ?

Je unaweza kutupatia makatazo hayo 42 ili tuweze kuyajadili moja baada ya jingine ?

Pili,mababu zetu mwezi wao ulikuwa una siku ngapi ?

Je ni wapi tutapata habari za mababu zetu,yaani historia za mababu zetu ?
 
Kaka jibu la tatu nina lipinga sababu ya udhaifu wa binadamu ambao ni silika yake ya kutokukamilika. Je unafikiri sheria zao zilikuwa sawa ?

Je kipi kilikuwa kipimo chao cha ukamilifu ?

Je unaweza kutupatia makatazo hayo 42 ili tuweze kuyajadili moja baada ya jingine ?

Pili,mababu zetu mwezi wao ulikuwa una siku ngapi ?

Je ni wapi tutapata habari za mababu zetu,yaani historia za mababu zetu ?
makatazo 42yapo kwenye kitabu kinaitwa the papyrus of ani,the egyptian book of the dead,hata ukigoogle unakipata
kama nakumbuka vizuri miezi yote ilikuwa na siku 30
wapi nimesema walikuwa wakamilifu?
 
Sikubali.
biblia inaonyesha kulikuwepo watu wengine wanaishizaidi ya adam,eva,cain na abel

According to Genesis 4:1-15, Eve give birth to Cain and Abel. This, according to some Christians, implies that there were only four family members on Earth at that time. Now, after Cain had killed Abel there were only three people. But after Cain had slain his brother God appears to him and kicks him out of the Garden of Eden as punishment. Cain then moves to the land of Nod, which is East of Eden, but what Cain then says to God is quite revealing. He tells God that he was worried of being killed by other people who would find him (Genesis 4:15). Then God replies, “Therefore whoever kills Cain, vengeance will be taken on him sevenfold.” (Genesis 4:15) God and Cain both imply that there are other humans besides Adam and Eve. If there were no other people, God would not have had to give him a mark in the first place, and Cain would not have had anything to fear
 
kama unaamini kuwa adam na eva ni watu wa kwanza hapa duniani,tuambie walikuwepo hapa duniani mwaka gani/waliumbwa na huyo yehova miaka mingapi iliyopita?


Swali zuri kabisa,unajua kuna vitu vingine watu huwa hawakubali ya kuwa havijulikani na anaevijua ni Mola aliyetumba,sasa ubaya unakuja pale ambapo watu wanajidai ujuaji wa namba na kuleta hesabu za uongo.

Watu wanatakiwa wajue kwamba dunia imepitia vipindi vingi sana,vipindi ambavyo kulikuwa historia hainukuliwi. Historia ambazo tumekuja kuzijua kupitia mitume.

Kwa ufupi haijulikani Adamu aliumbwa mwaka gani,japokuwa masiku yalikuwepo,muda ulikuwepo na binadamu ndio kiumbe cha mwisho kuimbwa.

Mola wetu anasema "Hakika idadi ya miezi kwake yeye ni miezi kumi na mbili,tangu alipoumba ardhi na mbingu"

Hapo kwanza unatakiwa ujue kipindi ardhi na mbingu zinaumbwa binadamu alikuwa ni kiumbe kisichojulikana kiumbe ambacho kilikuwa hakitajwi.

Sasa mnapotuletea ususuavu wa moyo na urangi lazima elimu sahihi itakupita mbali.

Mtume wa Allah alisema miongoni mwa mambo ya kijinga ambayo hayataisha mpaka kiyama kina simama ni :

1. Watu kulia kwa kuomboleza misibani

2. Watu kujifaragu/ kujifaharisha kutokana na rangi,nasaba,vyeo

3. Pia kubaguana.

Mengine nimeyasahau,au kama alivyosema mtume wa Allah.
 
Swali zuri kabisa,unajua kuna vitu vingine watu huwa hawakubali ya kuwa havijulikani na anaevijua ni Mola aliyetumba,sasa ubaya unakuja pale ambapo watu wanajidai ujuaji wa namba na kuleta hesabu za uongo.

Watu wanatakiwa wajue kwamba dunia imepitia vipindi vingi sana,vipindi ambavyo kulikuwa historia hainukuliwi. Historia ambazo tumekuja kuzijua kupitia mitume.

Kwa ufupi haijulikani Adamu aliumbwa mwaka gani,japokuwa masiku yalikuwepo,muda ulikuwepo na binadamu ndio kiumbe cha mwisho kuimbwa.

Mola wetu anasema "Hakika idadi ya miezi kwake yeye ni miezi kumi na mbili,tangu alipoumba ardhi na mbingu"

Hapo kwanza unatakiwa ujue kipindi ardhi na mbingu zinaumbwa binadamu alikuwa ni kiumbe kisichojulikana kiumbe ambacho kilikuwa hakitajwi.

Sasa mnapotuletea ususuavu wa moyo na urangi lazima elimu sahihi itakupita mbali.
inakuwaje miaka waliyokuwepo akina alexander the greek,socrates nk inajulikana,na hawa walikuwepo kabla ya yesu,imhotep,akhneton nk walikuwepo kabla ya abraham na adam miaka yao inajulikana,iweje hao wako haijulikani?
mbona mohamed bin abdullah inajulikana hadi mwaka aliozaliwa!!!

Mtume wa Allah alisema miongoni mwa mambo ya kijinga ambayo hayataisha mpaka kiyama kina simama ni :

1. Watu kulia kwa kuomboleza misibani

2. Watu kujifaragu/ kujifaharisha kutokana na rangi,nasaba,vyeo

3. Pia kubaguana.

Mengine nimeyasahau,au kama alivyosema mtume wa Allah.
 
Back
Top Bottom