johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema hakuna ubaguzi mbaya kama wa mwanaCCM kumbagua mwanaCCM mwenzake.
Dr Bashiru amesema mbaguzi wa namna hiyo akibainika atafukuzwa kutoka CCM akatafute chama kingine akaendeleze upuuzi wake.
Source Channel ten tv!
Dr Bashiru amesema mbaguzi wa namna hiyo akibainika atafukuzwa kutoka CCM akatafute chama kingine akaendeleze upuuzi wake.
Source Channel ten tv!