johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amewakemea viongozi wa mkoa wa Tanga kwa kushindwa kulidhibiti kundi la watoto watukutu na waalifu wajiitao Watoto wa Ibilisi.
Dr Bashiru amesema uzembe wa kulilea kundi hilo ukiendelea kuna siku tutapata diwani, mbunge au Rais aliyeasisiwa ndani ya kundi hilo.
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema hayo akiwa Pangani mkoani Tanga.
Source Channel ten habari
Maendeleo hayana vyama!
Dr Bashiru amesema uzembe wa kulilea kundi hilo ukiendelea kuna siku tutapata diwani, mbunge au Rais aliyeasisiwa ndani ya kundi hilo.
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema hayo akiwa Pangani mkoani Tanga.
Source Channel ten habari
Maendeleo hayana vyama!