Dr. Bashiru Ally Kakurwa: CCM hakuna mgogoro wala mpasuko; kuna wapiga kelele tu!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dr. Bashiru Ally Kakurwa amesema kuwa kwasasa, kinyume na inavyosemwa na kudhaniwa, ndani ya CCM hakuna mpasuko wala mgogoro wowote ila kuna wapiga kelele wanaojaribu kupenyeza mambo yao binafsi kwenye chama hicho.

Dr. Bashiru alikuwa akihojiwa na Mtangazaji Deo Kaji Makomba wa Radio DW kwenye kipindi cha mchana huu cha Kinagaubaga jijini Dodoma. Kuhusu Waraka wa Makatibu Wakuu wastaafu wa CCM, Dr. Bashiru amesema kuwa CCM hufanya kazi zake kwa mujibu wa vikao vya kichama vinavyoratibiwa na Katiba, Kanuni na Mazoea ndani ya CCM.

Dr. Bashiru amesema kuwa kwasasa CCM imeimarika, inaaminiwa na kuheshimiwa zaidi na wanachi kwakuwa inasimamia na kufanya mambo mazuri kwa Taifa hili na kwakuwa imeaminiwa na wananchi kupitia kura zao kuongoza Serikali mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Dr. Bashiru alimaliza kwa kuwatoa hofu wanachama na wananchi wote kwa ujumla juu ya uwepo wa mgogoro au mpasuko ndani ya CCM. Amewaita wanaotajwa kuwa na mgogoro au mpasuko kuwa ni wapiga kelele na ambao wanataka kuufanya 'upuuzi' wao uaminike kama mgogoro ndani ya CCM.
 
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dr. Bashiru Ally Kakurwa amesema kuwa kwasasa, kinyume na inavyosemwa na kudhaniwa, ndani ya CCM hakuna mpasuko wala mgogoro wowote ila kuna wapiga kelele wanaojaribu kupenyeza mambo yao binafsi kwenye chama hicho.

Dr. Bashiru alikuwa akihojiwa na Mwandishi Deo Kaji Makomba wa Radio DW kwenye kipindi cha mchana huu cha Kinagaubaga jijini Dodoma. Kuhusu Waraka wa Makatibu Wakuu wastaafu wa CCM, Dr. Bashiru amesema kuwa CCM hufanya kazi zake kwa mujibu wa vikao vya kichama vinavyoratibiwa na Katiba, Kanuni na Mazoea ndani ya CCM.

Dr. Bashiru amesema kuwa kwasasa CCM imeimarika, inaaminiwa na kuheshimiwa zaidi na wanachi kwakuwa inasimamia na kufanya mambo mazuri kwa Taifa hili na kwakuwa imeaminiwa na wananchi kupitia kura zao kuongoza Serikali mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Dr. Bashiru alimaliza kwa kuwatoa hofu wanachama na wananchi wote kwa ujumla juu ya uwepo wa mgogoro au mpasuko ndani ya CCM. Amewaita wanaotajwa kuwa na mgogoro au mpasuko kuwa ni wapiga kelele na ambao wanataka kuufanya 'upuuzi' wao uaminike kama mgogoro ndani ya CCM.
Mficha ugonjwa..........
 
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dr. Bashiru Ally Kakurwa amesema kuwa kwasasa, kinyume na inavyosemwa na kudhaniwa, ndani ya CCM hakuna mpasuko wala mgogoro wowote ila kuna wapiga kelele wanaojaribu kupenyeza mambo yao binafsi kwenye chama hicho.

Dr. Bashiru alikuwa akihojiwa na Mwandishi Deo Kaji Makomba wa Radio DW kwenye kipindi cha mchana huu cha Kinagaubaga jijini Dodoma. Kuhusu Waraka wa Makatibu Wakuu wastaafu wa CCM, Dr. Bashiru amesema kuwa CCM hufanya kazi zake kwa mujibu wa vikao vya kichama vinavyoratibiwa na Katiba, Kanuni na Mazoea ndani ya CCM.

Dr. Bashiru amesema kuwa kwasasa CCM imeimarika, inaaminiwa na kuheshimiwa zaidi na wanachi kwakuwa inasimamia na kufanya mambo mazuri kwa Taifa hili na kwakuwa imeaminiwa na wananchi kupitia kura zao kuongoza Serikali mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Dr. Bashiru alimaliza kwa kuwatoa hofu wanachama na wananchi wote kwa ujumla juu ya uwepo wa mgogoro au mpasuko ndani ya CCM. Amewaita wanaotajwa kuwa na mgogoro au mpasuko kuwa ni wapiga kelele na ambao wanataka kuufanya 'upuuzi' wao uaminike kama mgogoro ndani ya CCM.
najua Bashiru amesema uongo mwingi hapo juu, but ulio dhahiri zaidi ni ule wa kuhusu CCM kuchaguliwa kwa kura nyingi za wananchi Zanzibar wakati ni Jecha ndiye aliyeisimika CCM kule!
 
Kwani Dokta Bashiru alisharejesha kadi ya CuF anyway asiingie kwenye mkumbo wa kuwatusi walioanzia TANU atapata laanaa mpelekeeni hizo salamu
 
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dr. Bashiru Ally Kakurwa amesema kuwa kwasasa, kinyume na inavyosemwa na kudhaniwa, ndani ya CCM hakuna mpasuko wala mgogoro wowote ila kuna wapiga kelele wanaojaribu kupenyeza mambo yao binafsi kwenye chama hicho.

Dr. Bashiru alikuwa akihojiwa na Mtangazaji Deo Kaji Makomba wa Radio DW kwenye kipindi cha mchana huu cha Kinagaubaga jijini Dodoma. Kuhusu Waraka wa Makatibu Wakuu wastaafu wa CCM, Dr. Bashiru amesema kuwa CCM hufanya kazi zake kwa mujibu wa vikao vya kichama vinavyoratibiwa na Katiba, Kanuni na Mazoea ndani ya CCM.

Dr. Bashiru amesema kuwa kwasasa CCM imeimarika, inaaminiwa na kuheshimiwa zaidi na wanachi kwakuwa inasimamia na kufanya mambo mazuri kwa Taifa hili na kwakuwa imeaminiwa na wananchi kupitia kura zao kuongoza Serikali mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Dr. Bashiru alimaliza kwa kuwatoa hofu wanachama na wananchi wote kwa ujumla juu ya uwepo wa mgogoro au mpasuko ndani ya CCM. Amewaita wanaotajwa kuwa na mgogoro au mpasuko kuwa ni wapiga kelele na ambao wanataka kuufanya 'upuuzi' wao uaminike kama mgogoro ndani ya CCM.
Yaani laana ni kitu cha ajabu sana,ukilaaniwa wewe mwenyewe huwezi ukajua kama una laana ila wengine watatambua hivyo. Hata kichaa huwa hajitambui kuwa ana kichaa sana sana wewe mzima ndiyo anakuona kichaa. Hata limbwata hivyo hivyo ukishalambishwa hilo dude utajiona wewe bonge la mjanja na unapendwa sana kumbe unachunwa kinoma. Hivyo tuwaache walaaniwa wajione wako salama.
 
Back
Top Bottom