mi naona yuko sahihi kwani hata kikwete hajui kwanini sisi ni masikininimemuona ITV Dr.Bana amekiri pamoja na demokrasia kupanuka,hali ya maendeleo ya nchi inazidi kushuka.Hajui ni kwa nini
Bana is my registered controversial prof with no much help to his country. how would he dare to say he does not know why our economy is stagnant? hana tofauti na mkuu wa nchi aliyeulizwa kwanini watanzania ni maskini akajibu hajui.