nimemuona ITV Dr.Bana amekiri pamoja na demokrasia kupanuka,hali ya maendeleo ya nchi inazidi kushuka.Hajui ni kwa nini
...umenikumbusha mkuu,mr.dhaifu nae alishasema kwamba msongamano wa magari dar ni maendelea eti watu wanaomiliki gari sasa ni wengi ukilinganisha na kabla ya yeye kuingia magogoni...Yule dr kilaza Bana hawezi sema hivyo umemnukuu vibaya, kuna wakati alisema nchi imeendelea watoto wanaweza kuperuzi taarifa kwenye mitandao, na kuendesha gari vizuri akiwa na miaka 17 tu, na kutamba kuwa hayo ni maendeleo, leo ageuke? Siamini labda arudie tena inawezekana alikuwa kalala akajisahau kuwa anatakiwa kuilinda selikali kwa propaganda zake
nimemuona ITV Dr.Bana amekiri pamoja na demokrasia kupanuka,hali ya maendeleo ya nchi inazidi kushuka.Hajui ni kwa nini
Kajua hili leo atakuwa hajalipwa mwizi, anaifanya udsm kuonekana kama chuo cha kata...