Wabantu wote tunafanana,kuanzia matumbo kwa wanaume na mawowowo kwa wanawake!zamani ukiwa na pasipoti yoyote hata kama sio picha yako unapita airport nyingi za ulaya.
Ningependa sana aje kule kwenye Business and Economic forum, maana kuna report ya WB kuhusu uchumi wetu, ndo aseme wako kwenye right trach au tuna gain speed kurudi nyuma!!