EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,112
Ripoti iliyotolewa leo na Tume ya muda mfupi ya Nape Nnauye kuchunguza yaliyotokea Clouds yamedhibitisha bila shaka kuwa RC Bashite a.k.a Makonda na Kamanda Sirro walifanya ule mchakato kihuni na kwa hila.
Kama aliweza kuwatishia watangazaji kuwa watahusishwa na kesi za madawa ya kulevya hivyo pasipo shaka hata kesi zilizopita zimeshaingia najisi kwa sababu kutakuwa na walakini kwenye uendeshaji wa kesi hizo zote zinazowahusisha hawa wahuni wawili.
Tafadhali pia, mahojiano ya Kamanda Sirro na watuhumiwa wala yasitumike tena kama kielelezo cha ushahidi mahakani kwa sababu bila shaka Kamanda mwenyewe si msafi na kuna walakini mkubwa wa utendaji wake wa kazi kwenye kila kona kwa sasa. Yeye ni msimamia sheria za nchi zifwatwe lakini kushiriki kwake kwenye haramu hii moja kwa moja ama kupitia vijana wake basi amekosa sifa za kuliongoza jeshi la polisi.
Ofisi ya DPP na watendaji wake chukueni tahadhari hii ili muweze kunusuru kodi za wananchi na zikatumike sehemu nyingine inapostahiki na siyo kwenye mambo yaliyotengenezwa na genge hili la kihuni linaloongozwa na hawa watu wawili.
Tupilia mbali majarada yote shimoni na zile zilizopelekwa mahakani tayari tafadhali zifuteni sababu mtapoteza muda na kodi zetu.
Kama aliweza kuwatishia watangazaji kuwa watahusishwa na kesi za madawa ya kulevya hivyo pasipo shaka hata kesi zilizopita zimeshaingia najisi kwa sababu kutakuwa na walakini kwenye uendeshaji wa kesi hizo zote zinazowahusisha hawa wahuni wawili.
Tafadhali pia, mahojiano ya Kamanda Sirro na watuhumiwa wala yasitumike tena kama kielelezo cha ushahidi mahakani kwa sababu bila shaka Kamanda mwenyewe si msafi na kuna walakini mkubwa wa utendaji wake wa kazi kwenye kila kona kwa sasa. Yeye ni msimamia sheria za nchi zifwatwe lakini kushiriki kwake kwenye haramu hii moja kwa moja ama kupitia vijana wake basi amekosa sifa za kuliongoza jeshi la polisi.
Ofisi ya DPP na watendaji wake chukueni tahadhari hii ili muweze kunusuru kodi za wananchi na zikatumike sehemu nyingine inapostahiki na siyo kwenye mambo yaliyotengenezwa na genge hili la kihuni linaloongozwa na hawa watu wawili.
Tupilia mbali majarada yote shimoni na zile zilizopelekwa mahakani tayari tafadhali zifuteni sababu mtapoteza muda na kodi zetu.