lubangojoshua
Member
- Mar 9, 2011
- 11
- 0
BAADHI YA WANAFUNZI wa shule ya secondary ya azimio wilayani dodoma mjini,iliyopo kata ya miyuji mtaa wa mathiasi,ambayo imejijengea umaarufu kwa kuzalisha div 3 TU KATIKA MATOKEO YA iv and ZERO ZA KUTOSHA ,
jANA MKURUGENZI WA SHULE HIYO MH KAMBI PAMOJA NA WALIMU WAKE, AMBAYE ALIKATAA AJIRA YA SERIKALI NA KUAMUA KUFUDISha shule binafsi,jana wali waangushia KIPIGO KIKALI baadhi ya wanafunzi ambao SARE ZAO ZA, suruali AMBAZO hazikuwa na MALINDA VIBOKO kuanzia 9 na kuendelea,ila mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu yEye aliONJA KALI YA MWAKA HUU KWA KUCHAPWA viboko 35 ,
awali ya yote sare hizo zilishonwa hapo SHULENI KWA GHARAMA YA 20000 KWA KILA MWANAFNZI, ila kutokana na mkurugenzi huyo kuwa mchungu KAMA AROVELA kwEnye hela, mafundi HAO walichakachua na hawakuweka malinda KAMA INAVYOTAKIWA na ndipo lawama zilipo WAshukIA WANAFUNZI kuwa wametoa malinda HAYO YA SURUALI,ILA MPAKA SASA WANAFUNZI WOTE WALIOGA KIPIGO HICHO wamekaa kimya kuhofia kufukuzwa shule.
serikali ipoooooooooooooooooooooooi
jANA MKURUGENZI WA SHULE HIYO MH KAMBI PAMOJA NA WALIMU WAKE, AMBAYE ALIKATAA AJIRA YA SERIKALI NA KUAMUA KUFUDISha shule binafsi,jana wali waangushia KIPIGO KIKALI baadhi ya wanafunzi ambao SARE ZAO ZA, suruali AMBAZO hazikuwa na MALINDA VIBOKO kuanzia 9 na kuendelea,ila mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu yEye aliONJA KALI YA MWAKA HUU KWA KUCHAPWA viboko 35 ,
awali ya yote sare hizo zilishonwa hapo SHULENI KWA GHARAMA YA 20000 KWA KILA MWANAFNZI, ila kutokana na mkurugenzi huyo kuwa mchungu KAMA AROVELA kwEnye hela, mafundi HAO walichakachua na hawakuweka malinda KAMA INAVYOTAKIWA na ndipo lawama zilipo WAshukIA WANAFUNZI kuwa wametoa malinda HAYO YA SURUALI,ILA MPAKA SASA WANAFUNZI WOTE WALIOGA KIPIGO HICHO wamekaa kimya kuhofia kufukuzwa shule.
serikali ipoooooooooooooooooooooooi