kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,712
Msaada kwa anayefahamu hizi HR Consult. Firms maana wamekuwa wakiwapeleka vijana wengi katika Makampuni na kwa waajiri wengine.
Ninaifahamu moja inayoitwa NFT Consult. Tanzania.
Nisaidieni kunipatia faida au hasara za kuajiriwa na hizi HR Consult. Firms
Nimeandika kwakuwa nimeajiriwa na moja ya hizo HR Consult. Firms baada ya KUACHA kazi kutokana na kunyanyaswa na mwajiri.
Ninaifahamu moja inayoitwa NFT Consult. Tanzania.
Nisaidieni kunipatia faida au hasara za kuajiriwa na hizi HR Consult. Firms
Nimeandika kwakuwa nimeajiriwa na moja ya hizo HR Consult. Firms baada ya KUACHA kazi kutokana na kunyanyaswa na mwajiri.