Dowans lazima walipwe


KWA USHAURI WANGU,SERIKALI IWALIPE DOWANS HIZO BILLION LAKINI SASA IRUDI KWA KINA KARAMAGI NA WENGINE WOTE WALIOHUSIKA KUIRUBUNI TANESCO WAKAMATWE,WAFILISIWE NA WAWEKWE NDANI HUU UWE MFANO.


Serikali ni nani na kina Karamagi ni nani! Serikali = Kina Karamagi (Hapa neno Karamagi linawakilisha 'Mafisadi'. Hakuna mtu anaweza kujiadhibu.
Watanzania tunapiga kelele sio ili Dowans wasilipwe, bali tunakataa mchakato mzima wa Richmond na Dowans. Hakuna njia nyingine ya kuonyesha kuwa tunalaani Serikali kwa mikataba ya aina hii, zaidi ya kupiga kelele kuwa Dowans wasilipe. Mwisho wa siku serikali italipa, lakini italipa ikijua kuwa at least huu wizi wa sasa haukufanyika kirahisi kama walivyotaka (kama wanajali). Tunajua kuwa ni kwa kelele za namna hii masikio ya watanzania wengi ambao bado wamelala yatafunguka na wataamka. Tunajua mafisadi CCM kwa hili la Dowans watazidi kujiweka pabaya. Huu ni mtaji kwa wanamabadiliko wote, na wanatakiwa wachange karata zao vyema hapa, hakuna kulegeza kamba.

Nakumbuka maneno ya Mtikila kuwa "Dowans imeshushwa na Mungu kumuondoa Kikwete"
 
KAMA TANESCO NA SERIKALI YETU IKIKATAA KUWALIPA DOWANS,BALOZI ZETU NJE YA NCHI ZITAKUWA ATACHED NA MWISHO WA SIKU TUTAWALIPA KWA RIBA KUBWA SANA,

You are completely wrong about this. Dowan's contract is with Tanesco. Balozi zetu zitakuwa "attached" kama unavyosema kwa sababu gani? Watu wengi wanafikiria kwamba balozi zetu zitahusishwa kwa sababu hawaelewi jinsi business zinavyokwenda at the international level. I learnt first hand when a client of mine lost tonnes of money on an international transaction. All the Embassy/Diplomatic Mission can do in a case where a contract between two companies was not honoured is to pressure the government in question but the government of Tanzania in this case refuses to be involved, there is nothing Dowans can do. And I know Tanesco is a crown corporation/parastatal but still it is an incorporated company. Wacha kutishia watu kwamba Tanzania itapoteza chochote kama tukikataa kulipa. As a matter of fact, all indications are, most of our Western friends including the US would support our refusal to pay, if it is a motion set forth by the people. Ask anyone who has done international law they will confirm this.
 
vyovyote iwavyo! lipeni mkabiliane na nguvu ya umma!qn is ra akiishachukua hiyo hela,yete na ccm yake wakatafute nchi nyengine ya kuongoza. kwa nini wasikamate mali za jk comoro?
 
Natamani tungefanya kama wachina hata tukiwalipa woote waliohusika nyongelea mbali!
 
Son,

Jibu la kulipwa au kutokulipwa kwa Dowans ni hilo alilotoa Pascal. Tanesco/Serikali ndio timu hiyo hiyo inayozisubiri hizo pesa za 'Dowans'. Wakitaka kutolipa, watazitumia mahakama vizuri na kukwepa hukumu ya ICC. Lakini kama watamua kufunga masikio na kutosikiliza kelele za waTanzania, basi watawalipa tu kwa wakati wanaotaka.

Mahakama za TZ wanayo mamlaka ya kutosha kukataa utekelezwaji wa hii hukumu ya ICC.
  • Hukumu ya ICC ilitolewa mahakama ikiwa imeketi nje ya TZ, kwa hiyo, ingawa through NY Convention, ICC wanaweza wakajipa jurisdiction ndani ya TZ, lakini kisheria hawawezi kuzidi maamuzi ya mahakama kuu ya TZ kama mahakama kuu wataamua kusikiliza suala hili juu ya utekelezwaji wake au kuikataa. Mifano ya maamuzi yaliyokataliwa yako mengi duniani.
  • Kesi hii ni kati ya Tanesco na Dowans. Kwa hiyo kama kungekuwa na kupiga mnada, ingetakuwa zikamatwe mali za Tanesco na sio TZ govt.
  • Kuepuka kulipa, Tanesco wanachotakiwa ni ku-prove tu kwenye mahakama za TZ angalau kati ya haya mawili kuwa; (a) Utoaji wa tenda kwa RDC na Dowans wote ulisukumwa kwa nguvu za rushwa/ wanasiasa (b) Kuwa kampuni zote mbili, RDC na Dowans, ni bandia.
 


mkuu nakupinga hakuna kitu cha hivyo hawawatu hawatafungwa! Wafungwe kwa serikali ipi hii dhaifu ya jk au!???
 
Hebu Watanzania wenzangu tutulie na Tujaribu kuamgalia hoja za huyu Bwana Son of Soil, Nadhani hii mada ndio inairudisha JF kwenye uhalisia wake wa Kujibu Hoja Kwa Hoja asa Great Thinkers does
Hebu tuzameni kwenye hizi hoja za huyu bwana, yeye kasema lazima tulipe kwa hoja zake na sisi lazima tuseme hatulip kwa hoja zetu

ni mtazamo wangu tu
 
Ni kweli hapa hatuna ujanja hawa jamaa wametushika pabaya na mimi niwaambie watz wenzangu tuache mzuka usio na msingi hawa jamaa tusipowalipa tutalipa mabilioni mengi zaidi baadae ni bora walipwe sasa

Serikali walipeni DOWANS mtuondolee hii kero

Eeeeh eeeeh unamaanisha?
 

Hoja yako yote inaporomoka hapo; kama kweli umesoma mkataba wa Richmond na Dowans unaweza kututajia ni wapi ambapo panasema ili mkataba uhamishwe kwa halali kinahitajika consent ya Waziri? Ukituonesha basi utakuwa umefanya kile ambacho siyo Dowans wala Richmond walichoweza kufanya. Hoja yako inasimama au kuanguka kutokana kipengele cha 12.1e na 15.12

Dowans hawalipwi, hawalipiki, na wakilipwa hapakaliki!
 


Hivi mwizi akiiba umeme wa Tanesco na kukufungia bado anabakia kuwa mwizi au kwa vile wewe unatumia umeme huo basi kitendo cha wizi hakijatokea na wakikamatwa waachiwe kwa sababu mwananchi "amepokea na kutuia umeme"? Hizi reasoning nyingine zinasikitisha tu.
 
Rostamu na lowasa wameingia mpaka huku! Kweli jf inapendwa...haya mwambieni kiongozi wenu wa kifisadi kikwete kuwa tumekubali kuwapeni mabilioni hayo japo wote kwa umoja wenu (lowasa,kikwete rostamu) mlikuwa mnajichotea 152,000,000 kila siku kwa mkataba wa tanesco na richmond (richard from monduli )
 

Sawa uliyosema huko juu inaweza ikawa kweli lakini kuna kiongozi hapa kwetu mwenye ujasiri wa kusema kwamba Karamagi, RA, EL na wengine wakamatwe na wafilisiwe? Kama mnataka kuhalalisha malipo ya Dowans lazima tukubali kusamehe vyote maana hapa tutapigwa changa la macho tu!

Bila Katiba mpya hawa jamaa wataendelea kutuchezea tu kama mpira!! Hivi yanayotekea Uarabuni hapa kwetu hayawezekani jamani? Tungewaondoa ili tuweke Serikali yetu na tuipe mamlaka ya kukusanya hiyo hela kutoka kwa hao mafisadi. Vinginevyo Serikali ya Mkwere haiwezi!!
 
Na ngoja tumvae Rostam mzima mzima this week maana haiwezekani taifa zima tunazungushwa kichwa na mtu mmoja kama mtoto anayechezea pia!
 
Na ngoja tumvae Rostam mzima mzima this week maana haiwezekani taifa zima tunazungushwa kichwa na mtu mmoja kama mtoto anayechezea pia!

Hatukuwa na sababu ya kujizungushazungusha namna hii, ukitaka kuuwa nyoka anzia kichwani; na huyu Rostam akiwekwa kwenye kona, hata wale wanaombeba watamkana mara 3 kabla ya jogoo kuwika!
 
Hatutawalipa na tuone mwisho wetu.

Mbona CUBA hadi leo bado wanaishi?

Tusiwalipe na mwisho wa siku, tuvunje MUUNGANO na wao wabaki wakiidai TANZANIA ambayo haitakuwepo.

Kama wao wanaujua huu, sisi tunaujuwa huu.

Umelonga huyo son naona nayeanashea amekazana tuwalipehalakaa
 

P. Una akili sana. Na endapo tutaamua kuwalipa leo, basi kesho yake kipenga kilie, nguvu ya wananchi ichukue mkondo wake. Tuwakamate JK, RA, EL na washkj zao, tuwapeleke Golgota. Roho yangu itabaki safi, wala Tshs. 94b haitaniumiza tena sana.:roll:
 

Naona aibu hata kusema mengi maana mwishowe nitabwata.Itoshe kukuambia kwamba yote unayosema umesoma ni prearranged na hewa.Ni documents fake,zilizopikwa na kupikika.Na hukumu ya ICC si lolote,majaji wao ni ma-Mafia tu wamepewa cha juu wasikubaishe hata kidogo.In fact to me ICC ni kikundi cha matapeli who are there to endorse wizi na kila aina ya uzandiki done to poor people of the world.
 

Son of soil mkataba ukifungwa baina REDVCO na Tanesco parties to the contract ni kina nani?????

Vilevile naomba nikuulize waziri yeye kama waziri hana ushirika na tanesco kwani unaposema consent ya Waziri ilipatikana Waziri wa nishati alikuwa waziri wa wizara. Tanesco ni shirika la umma yeye anahusika vp katika contract.

Mie sikubaliani na hoja zako kwani parties to the contract walikuwa ni REDVCO na Tanesco hivyo basi kama parties conditions na warranties of the contract are vested upon the parties to the contract.
 
Nadhani kuna watu ambao wana nyoyo za ngozi ya chui,hivi kweli kuna mtu mwenye ufahamu anaweza akaja jamvini na hoja za kutaka kutusiliba nyuso zetu na matope eti kutuambia serikali ilipe Dowans,tuwalipe kwa vipi Jakaya Kikwete,Rostam Azizi na Edward Lowassa janja yao sasa hivi inajulikana,haya yote yanawatokea kwa sababu walitumia hila kubwa kuingia madarakani mwaka 2005,leo hii watu wanajua abcds za Dowans wewe unakuja na propaganda hapa ili uangalie upepo wananchi tunasemaje,mumezoea siku zote kutuambia tunapenda kuongea ongea tuu bila vitendo tunafahamu nyie munaamini hili la Dowans litapita kwa sababueti tutasahau ,kaa ukijua kwamba wananchi hatutaruhusu na senti tano moja hailiipwi kule kwetu wanasema mulile kako
 

Penye red: Hivyo ni vyema son of soil (aka Hitler's grand son) a-commit harakiri -- should fall on his sword!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…