Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Kuhusu Dowans iwapo angesema hivyo tangu mwanzo angeweza kuepusha malumbano makubwa katika chama chake -- baina ya wabunge wake! JK anayo tabia ya u-brinkmanship -- yaani huachia mambo yaende hadi karibu ya ukingoni , huku akiangalia upande upi unaonekana una nguvu ndiyo ajikite huko. Huwa hana maamuzi yake binafsi anayoyaamini na kuyasimamia kwa nguvu zake.
Good observation mkuu, huyu rais wetu anataka kila kitu kiwe rahisi and doesn't want to make hard decisions.
Jasusi, it was not April's fool day because TBC repeated the speech this morning