Wanajanvi, mi sikumuelewa kabisa huyu Dovutwa kujitoa kwenye ligi muda wa mwisho huku serikali imeharibu pesa kwa ajili ya huyu mgombea, kwa kuchapisha picha zake za matangazo na mengine mengi. Kwa nini mtu huyu asishitakiwe?
kuna umuhimu wa kuangalia sheria za uchaguzi kwa watu kama hawa,suala la mgombea binafsi litakapoanza tutashuhudia vituko zaidi!la msingi wahusika kama wapo makini waangalie sheria ya kuwabana hawa wahuni!