hiyo Mahakama ianze na hizi kesi 1- uuzaji nyumba za Serikali 2- zile bilion 251 zilizopotea wizara ya Ujenzi kwa kulipa makandarasi Hewa 3- Ununuzi kivuko kibovu cha 1978 kwa bilion nane , 4- Ujenzi bomba la Gesi, 5- Uagizaji sukari nje 6- chenji ya Rada na chenji bunge la katiba, 6-Escrow ,7-zile bilion 1.7 za kampeni zilizopigwa na January makamba, 8- Ununuzi mabehewa mabovu, Lugumi nk , zipo nyingi sana mkimaliza hizo ndipo hiyo Mahakama italeta maana kinyume na hapo itakuwa Mahakama ya Kidikteta tu.