Kweli kabisa. Bulendu ni mmoja ya waandishi na wanahabari wazuri sana. Hata ukisikiliza mijadala anayoiendesha utaona wazi ni mtu ambaye yuko educated, and he stands for truth. Siyo makinikia kama akina Jerry Muro.Dotto sio mtumishi Wa Star TV Bali ni Wa chuo kikuu SAUT akiwa kama mkurugenzi Wa SAUT FM na mhadhiri Wa chuo.
Kile kipindi chake Star ni muundaaji tuu