Mama Ametufikia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 501
- 1,303
Wakuu nimejaribu kuangalia jina la DR Doroth Gwajima sijaliona au safarii hahombei
Samia hawezi kumuacha dorothyAtakuwa anavizia zile nafasi za Rais
Aligombea lini na Wapi?Wakuu nimejaribu kuangalia jina la DR Doroth Gwajima sijaliona au safarii hahombei
Okay anasubiri nafasi kumi ana uhakika atapata ?Hajawahi kugombea. Ni mbunge wa kuteuliwa na Rais
Ameamua kubetAtakuwa anavizia zile nafasi za Rais
Kwani alishawahi kigombea jimbo gani before. Anasubiri teuzi ila hapati.Wakuu nimejaribu kuangalia jina la DR Doroth Gwajima sijaliona au safarii hahombei
No wayNaamini Mama atamteua tena na atarudi. Wizara ya Afya au hii aliyopo sasa. Au yo yote tu. Nilikutana naye Dodoma wiki iliyopita. Simple, humble, smart, sharp and engaging. Unaongea naye anakuzingatia na kujibu maswali yako kwa ufasaha. Ni wazi ni mtu anayependa kujisomea. Extremely impressed; na Mungu Azidi kumbariki 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Jina linaharibu mamboOkay anasubiri nafasi kumi ana uhakika atapata ?
Kwani alishawahi kigombea jimbo gani before. Anasubiri teuzi ila hapati.
Wewe ndio kijakazi wa samia?No way
Wait and see brotherWewe ndio kijakazi wa samia?
Kama Magufuli alimteua Mara 2 na sasa anaamini SSH atamteua ?Muungwana saana huyu Mama💋
Tatizo lako ni moja tu wewe mzee...Naamini Mama atamteua tena na atarudi. Wizara ya Afya au hii aliyopo sasa. Au yo yote tu. Nilikutana naye Dodoma wiki iliyopita. Simple, humble, smart and engaging. Unaongea naye anakuzingatia na kujibu maswali yako kwa ufasaha. Ni wazi ni mtu anayependa kujisomea. Extremely impressed. Mungu Azidi kumbariki 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Alishafanya maamuzi huyoKwani alishawahi kigombea jimbo gani before. Anasubiri teuzi ila hapati.