Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,981
- 828,718
Usiseme hutafikiwa, bali jiulize utafikiwa lini kwakuwa hata waliokaa kimya walifikiwa zile siku 5 za giza nene Tanganyika..
Ukiliangalia hili jambo kimwili unaweza usipate majibu ya kuridhisha sana! Litazame kiroho.. Lina kina kirefu, giza zito na majibu ya kutisha sana!
CCM iko madarakani kwa miongo sita sasa sawa na miaka 60! Kuweza kubakia kwenye power kwa kipindi chote hicho si lelemama ati.. Kina mambo mazito na magumu katika ulimwengu wa giza
Serikali haiamini katika Mungu.. Bali serikali inaamini na kuabudu miungu inayowapa nguvu na uwezo wa kubaki madarani.. Hata kama haiwezi kukiri lakini kuna siri za kiti zipo
Achana na makafarq ya Ziwa Tanganyika, Mtwara na Bagamoyo.. Achana na kafara la kukimbiza moto.. Makafara hubeba roho! Na roho haibaki milele kwenye eneo moja.. Huhama
Roho inapohama kimwili ni kifo.. Roho inapohama kwenye kafara ama zindiko huo ndio mwisho wake .. Inabidi kulibust
Kafara ama zindiko haliwi hilo hilo miaka yote! Kadiri unavyokuwa ndivvyo navyo linavyohitaji kukua
Utaanza na kuku mmoja
Watafuatia wawili mwisho wafike 10
Utaingia kwenye kondoo na mbuzi utaanza na mmoja mwisho utafikisha 10.
Utapanda viwango na kuingia kwenye ng'ombe au ngamia.. Mwisho watasizi
Mwisho utafika pa kutoa damu kubwa ambayo ni ya binadamu.. Kuna machaguo mawili ndugu, ndugu wa karibu mmoja au watu baki watatu.
Kafara halishibi damu wala nyama.. Kila likianza kutepeta ni more demanding ya kimiminika chekundu kikubwa
Sasa unaingia kuua pembe moja, unafuatia pembe 2, 3, 4, 5, mpaka unafikia kuua pembe kumi za uumbaji.. Pembe moja ni kama kaskazini pembe nne ni kama kaskazini,kusini, mashariki na magharibi
Ukishamaliza kote huko kifuatacho sasa ni halaiki.. Ni kimbari...Maana kuzimu hakushibi.
Yeyote anayefanya hayo hujiingiza kwenye maagano mabaya na kujikuta kwenye gereza la mateka lisilo na uhuru wa milele
CCM itaanguka lakini kwa gharama kubwa sana ya damu zisizo na hatia kwa ajili ya ulinzi madaraka na usalama wa wakuu walichukuliwa mateka utumwani kwenye kafara na mazindiko
Doria za mitandaoni na matisho yana asili na mizizi yake! Tuzidishe maombi hiki kina ni kirefu
Ukiliangalia hili jambo kimwili unaweza usipate majibu ya kuridhisha sana! Litazame kiroho.. Lina kina kirefu, giza zito na majibu ya kutisha sana!
CCM iko madarakani kwa miongo sita sasa sawa na miaka 60! Kuweza kubakia kwenye power kwa kipindi chote hicho si lelemama ati.. Kina mambo mazito na magumu katika ulimwengu wa giza
Serikali haiamini katika Mungu.. Bali serikali inaamini na kuabudu miungu inayowapa nguvu na uwezo wa kubaki madarani.. Hata kama haiwezi kukiri lakini kuna siri za kiti zipo
Achana na makafarq ya Ziwa Tanganyika, Mtwara na Bagamoyo.. Achana na kafara la kukimbiza moto.. Makafara hubeba roho! Na roho haibaki milele kwenye eneo moja.. Huhama
Roho inapohama kimwili ni kifo.. Roho inapohama kwenye kafara ama zindiko huo ndio mwisho wake .. Inabidi kulibust
Kafara ama zindiko haliwi hilo hilo miaka yote! Kadiri unavyokuwa ndivvyo navyo linavyohitaji kukua
Utaanza na kuku mmoja
Watafuatia wawili mwisho wafike 10
Utaingia kwenye kondoo na mbuzi utaanza na mmoja mwisho utafikisha 10.
Utapanda viwango na kuingia kwenye ng'ombe au ngamia.. Mwisho watasizi
Mwisho utafika pa kutoa damu kubwa ambayo ni ya binadamu.. Kuna machaguo mawili ndugu, ndugu wa karibu mmoja au watu baki watatu.
Kafara halishibi damu wala nyama.. Kila likianza kutepeta ni more demanding ya kimiminika chekundu kikubwa
Sasa unaingia kuua pembe moja, unafuatia pembe 2, 3, 4, 5, mpaka unafikia kuua pembe kumi za uumbaji.. Pembe moja ni kama kaskazini pembe nne ni kama kaskazini,kusini, mashariki na magharibi
Ukishamaliza kote huko kifuatacho sasa ni halaiki.. Ni kimbari...Maana kuzimu hakushibi.
Yeyote anayefanya hayo hujiingiza kwenye maagano mabaya na kujikuta kwenye gereza la mateka lisilo na uhuru wa milele
CCM itaanguka lakini kwa gharama kubwa sana ya damu zisizo na hatia kwa ajili ya ulinzi madaraka na usalama wa wakuu walichukuliwa mateka utumwani kwenye kafara na mazindiko
Doria za mitandaoni na matisho yana asili na mizizi yake! Tuzidishe maombi hiki kina ni kirefu