Dont try this in Bongoland

Dont try this in Bongoland

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,163
Reaction score
5,765
Hii kitu waachie wakenya wenyewe usithubutu kujaribu bongo
tmp_22538-IMG_54643544718684166497213.jpeg
 
Aisee........nimependa aina ya gari.......kumbeeeeeeee........Kenya yanatumika kama gari za patrol.........
 
Mbona gari za kawaida tu hizi...Mbona Tanzania kuna Benz,Landrover freelander,110,Land cruiser hardtop na MG(hizi ni nzuri kuliko hata hizo corolla ninazoziona hapo juu) za Polisi.
 
Nahiyo kampuni itakayo Fanya hivyo itaundiwa zengwe na kufungiwa kazi maishani
 
Mbona gari za kawaida tu hizi...Mbona Tanzania kuna Benz,Landrover freelander,110,Land cruiser hardtop na MG(hizi ni nzuri kuliko hata hizo corolla ninazoziona hapo juu) za Polisi.
Hukumuelewa mleta picha.

Angalia tairi ya mbele mkono wa kulia
 
wabongo hawana utan yan cku zkiingia tu nchini kila kiongoz anaenda kuchukua 1ya kpelekea watt wake xhule
 
Back
Top Bottom