Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

hahahaha na mikono yake iliganda kwenye mwili wake muda wote kweli?
 
Jamani kumbe am a friend nimejikuta natabasamu, sikuwa najua mie nilijua naboa thanks friend.
Mkunde O mie ni chotara wa kinyamwezi na kibondei, nimeolewa japo na misukosuko ya ndoa nina watoto 3, mungu akijaalia mwaka 2015 natimiza miongo 2 ya ndoa. MKunde ni pm popote ulipo tuotete kidogo.
Nakumbuka tu soga zake...she was a friend hapa jamvini...
Sijui kabila lake wala her marital status wala hilo la watoto...
Ila kama anakusoma kama guest bila shaka atayaona haya maswali
 
Hujambo The Boss? Unamuita huyu mentali wa nini sku nyingi sijavuta bange akija huyu hapa atanishawishi kula msuba. Na bado sijasahau alichonifanyia kabla sijaaga humu jamvini...
QUOTE=The Boss;7783373]mnhhhhhhhh where is Mentor ....[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Am here best we menambia nilienda kuchimba magimbi kijijin? Hapana bana nilizubaishwa na Obama nikabwaga nyumba yangu ila sasa nimerudi siraki tena kurudia makosa natulia tulii nyumbani kwa mume wangu nalea mume na familia. Huyu pacha wangu tunawasiliana kwa pm nataka nitete nae kidogo kabla sijapotea tena humu.

Ooh thr you're besti...at least leo umekutana na pacha wako Mkunde Original....
 
Hujambo The Boss? Unamuita huyu mentali wa nini sku nyingi sijavuta bange akija huyu hapa atanishawishi kula msuba. Na bado sijasahau alichonifanyia kabla sijaaga humu jamvini...
QUOTE=The Boss;7783373]mnhhhhhhhh where is Mentor ....
[/QUOTE]

kumbe its him
pole sana
 

kumbe its him
pole sana[/QUOTE]

Sijakuelewa its him kafanyaje?
 

kumbe its him
pole sana[/QUOTE]

Sijakuelewa its him kafanyaje?
 
Jamani kumbe am a friend nimejikuta natabasamu, sikuwa najua mie nilijua naboa thanks friend.
Mkunde O mie ni chotara wa kinyamwezi na kibondei, nimeolewa japo na misukosuko ya ndoa nina watoto 3, mungu akijaalia mwaka 2015 natimiza miongo 2 ya ndoa. MKunde ni pm popote ulipo tuotete kidogo.

Hahaha of coz you're a friend sakapal na nimefurahi kuona hizo info nyingine ambazo sikuwa nazijua kabla.
Blesses to u rafiki.
 
Am here best we menambia nilienda kuchimba magimbi kijijin? Hapana bana nilizubaishwa na Obama nikabwaga nyumba yangu ila sasa nimerudi siraki tena kurudia makosa natulia tulii nyumbani kwa mume wangu nalea mume na familia. Huyu pacha wangu tunawasiliana kwa pm nataka nitete nae kidogo kabla sijapotea tena humu.

Hahaha hiyo ya kuchimba magimbi nimetumia fasihi tu sikumaanisha kama inavyosomeka...
 
Tunakuombea don't do flashback. U never no whom he had crossed with and u may get those strange stds
 
Jamani kumbe am a friend nimejikuta natabasamu, sikuwa najua mie nilijua naboa thanks friend.
Mkunde O mie ni chotara wa kinyamwezi na kibondei, nimeolewa japo na misukosuko ya ndoa nina watoto 3, mungu akijaalia mwaka 2015 natimiza miongo 2 ya ndoa. MKunde ni pm popote ulipo tuotete kidogo.

kwa hiyo una miaka 18 ktk ndoa?kumbe sakapal wewe ni kibibi....mi nilidhani ni kasichana ka miaka ya tisini kalichobanguliwa na bangi!lol
 
Kuna watu wana Id zao humu na wanajua kuzitumia kisawa-sawa. chezea! LoL c.c watu8
 
The Boss na sakapal mbona kumuita mwana wa Adamu mapema hivi?

Huyo kibosile ndo amekuita mie akuu sijakuita kabisa na hata nimeshangaa amekuitia nini au amekumiksi na mtu mwingine au nae ameshaanza kula bangeee??? Ila natamani kuonja.................
 
Huyo kibosile ndo amekuita mie akuu sijakuita kabisa na hata nimeshangaa amekuitia nini au amekumiksi na mtu mwingine au nae ameshaanza kula bangeee??? Ila natamani kuonja.................

ts bin too long kwa kweli...vp uko na piece??!
 
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.

Umemkwepa wiki hiyo nzima, unashindwaje kumkwepa kwa hiyo siku moja iliyobaki? Nahisi tamaa imeshakuingia ...
 
Back
Top Bottom