Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.
Tupe feedback basi??????
huyo bwana anaukwimwi anataka akuambukize. usikae naye karibu, usiingie chumbani kwako wala wewe usiingie chumba kwake. pia msisalimiane kwa mikono. endelea kumkimbia okoa maisha yako. tumia akiri kufikiri na usifuate udhaifu wa mwili
Usipoteze nguvu mkuu.. ukiona kimya ujue tunda lishamegwa.. sanasana hata akirudi ataishia kujiongezea dhambi ya kutudanganya.."asanteni kwa maombi nilifanikiwa kushinda kishawishi.." wakubwa tunaguna tuu tunauchuna.
Si niliwaambia?Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.
Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.