Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

we toa tunda tu hilo libanjuliwe watu wapate raha kwa kukuloanisha ndani kwa ndani. Alafu penzi la ku cheat tamuuuuu.
 
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.

Hapo kwenye Blue huwa wadada walio wengi wanapata tabu sana na hatimaye kujikuta wameshafanya yale waliyokuwa hawayapendi (makosa)......Anyway Mungu na akusaidie since unahitaji Maombi basi ulete feedback humu pia ili tujue kama maombi yamefanya kazi au umeishia kugegedwa....
 
Aaa!
Haki ya Mungu walai!
Kuna wadada wachoyo! Sa kum'bania mwenzio mbunye ndio nini??!!
...
Embu kumbuka hii
"na koja la asumini,
nakuletea tamashaa,
mapenzi ya utotooni,
leo kaja yakumbushaa,
yanamwenda midomooni,
kwa furaha na bashasha,
KAJAOMBA SSAMAHANI,
VIPI NIMKATALIE?"
...
Ubane pua wakati unapitia huo wimbo!
Mzee mwenye busara kaachia dongo hilo! Sio bongo fleva!
 
huyo bwana anaukwimwi anataka akuambukize. usikae naye karibu, usiingie chumbani kwako wala wewe usiingie chumba kwake. pia msisalimiane kwa mikono. endelea kumkimbia okoa maisha yako. tumia akiri kufikiri na usifuate udhaifu wa mwili
 
huyo bwana anaukwimwi anataka akuambukize. usikae naye karibu, usiingie chumbani kwako wala wewe usiingie chumba kwake. pia msisalimiane kwa mikono. endelea kumkimbia okoa maisha yako. tumia akiri kufikiri na usifuate udhaifu wa mwili

Usipoteze nguvu mkuu.. ukiona kimya ujue tunda lishamegwa.. sanasana hata akirudi ataishia kujiongezea dhambi ya kutudanganya.."asanteni kwa maombi nilifanikiwa kushinda kishawishi.." wakubwa tunaguna tuu tunauchuna.
 
Usipoteze nguvu mkuu.. ukiona kimya ujue tunda lishamegwa.. sanasana hata akirudi ataishia kujiongezea dhambi ya kutudanganya.."asanteni kwa maombi nilifanikiwa kushinda kishawishi.." wakubwa tunaguna tuu tunauchuna.

Hahahaha.....hili nalo neno
 
Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.
Si niliwaambia?
 
Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.


ayaaaaa!hilo zoba limekukosa?????
 
ukiona unashndwa kabisa kujizuia mwambie mumeo (kama unae) akuombee
 
Back
Top Bottom