Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.
Shukrani tele kwa makochi ya reception hahahahaha lol!!!! yameweza kuzuia mgegedo wa nguvu 🙂🙂...Natumai umefika home salama salimini.
Sredi zako na mwandiko wako sijui kwa nini huwa naufananisha na ule wa sakapal
Am safely home best friend hahahaaaa makochi ya reception loohhh yaliokoa jahazi kumbe nawe wivu ulikuwa juu thanks for all yhe songs ndo nasikiliza hapa home.
Am safely home best friend hahahaaaa makochi ya reception loohhh yaliokoa jahazi kumbe nawe wivu ulikuwa juu thanks for all yhe songs ndo nasikiliza hapa home.
Wapendwa nashukuru kwa sala zenu, kweli tuliongea sana till late hours tukiwa wote sobar na nguo zetu maana tulikuwa tunaongea kwenye makochi ya reception ya hotel afterward kila mtu alienda kulala. HApa niko KIA nasubiria flight yangu kurudi home safely. Trust me nothing happen btw the two of us. BAK usihofu wala usitie shaka u know mie huwa siko kirahisi, sijisifii ila am hard to get.
Stay well and be blessed friends, me love u all.
Hapana banaaa!!!! mie sikuwa na wivu ila ulivyopotea kipindi kirefu nikajua ndio mko busy na mgegedo wa kukumbushana enzi zenu za chuo kumbe gumzo lilikuwa limenoga kwenye "makochi ya reception" 🙂🙂 shukuru mungu hayakuwa makochi ya chumbani lol!!!!
Mmh ni kweli mnafanana hasa yale mambo muandikayo...
sakapal aliaga hapa kwenda kijijini kulima magimbi...nadhani bado yupo huko hajavuna bado...
Mmh ni kweli mnafanana hasa yale mambo muandikayo...
sakapal aliaga hapa kwenda kijijini kulima magimbi...nadhani bado yupo huko hajavuna bado...
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.
ikimbie zinaa
mfikirie mumeo kwanza
ngoja nianze kusali
Mmh ni kweli mnafanana hasa yale mambo muandikayo...
sakapal aliaga hapa kwenda kijijini kulima magimbi...nadhani bado yupo huko hajavuna bado...
It seams unamkubali sana sakapal eehhh mwambie huko aliko kynamtu anafananishwa nae. Na yeyr ni mchaga kama mie? Kaolewa? Anawatoto wangapi?
sakapal said:Mmmhhh sikuwa najua hili ngoja nifatilie ni yeye kaniiga au mie ndo namuiga.