Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

Dont let me cheat on my ........, Oohh Lord!!!

Mkunde Original

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
807
Reaction score
647
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.
 
Mhhhhh!!!! Haya bana :noidea::noidea::noidea:

 
Last edited by a moderator:
Mfano umkute yupo period utamlala tu!? Mbona watu wengine mnaweka akili zenu mifukoni!? Jitambue na uliemuacha dar akikutana na Yule mtengeneza kucha waliosoma nae primary afanyaje!?
 
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.
fikiria kwa kutumia akili yako na sio moyo wako. Huyo jamaa anakutaka kwa kuwa uko na mwengine. Ukimwambia umemwacha jamaa yako na unataka uwe nae kimoja angalia atakavyotoka nduki.
Tafadhali mheshimu mumeo na uache huo ujinga.
Sipendi kuombea watu mabaya lakini itakapotokea tamaa zako zikakushinda na mkaamua kukumbushia, basi naomba Mungu ampe maono mumeo na mfumaniwe on the spot ili mmalize biashara.
 
Ni aje MO!? Mbona umepotea hivyo :behindsofa:!? LOL! Safari njema kuelekea jiji la maraha 🙂🙂
 
Mungu akuepushe na hiyo dhambi....amina
CHEATING IS A CHOICE NOT A MISTAKE..mungu akuzidishie moyo huo huo wa ujasiri..
 
Dont trust your heart....its not on the right side
 
dah kama vile naona kinatafutwa cha tatu sasa cha kulalia....kuamka saa nneee za asubuh na kutafuta supu iko wapi
 
Kukumbushia sio kosa fanyeni tu
 
Kwa jinsi ulivyoandika inaonaekana bado mnapendana ila mlitenganishwa na distance. Naona unajitahidi kujustify hicho mnachokifanya eti kwasababu hamkugombana. Na kama umeshakkubali kuwa nae faragha hakuna idadi ya maombi itakayokuokoa hapo. Endeleeni tu.. Najua hautarudi kutoa feedback...
 
Habari zenu wote,
Lengo la kuja hapa mnisaidie kufanya maombi/ kusali nisi-cheat. Niko arusha kikazi (semina)kwenye hoteli moja maarufu mjini, sasa nimekutana na mtu ambaye tululikuwa lovers wakati niko chuo. Tuliachana bila ugomvi ni kukatika kwa mawasiliano tuu kwani yeye alienda nje ya nchi kufanya masters. Sasa wiki yote hii nimekuwa nikimkwepa na kesho ndo narudi Dar, hapa kanishikia bango tukumbushie, roho I radhi kutoku-cheat ila mwili u dhaifu.
Ubarikiwe kwa kuniombea.....
Usiku mwema.
[video=youtube_share;ar7DriakfOw]http://youtu.be/ar7DriakfOw[/video]
 
Back
Top Bottom