Mjita Pure
Member
- Jul 29, 2015
- 42
- 24
Wee mafanikio ya unayapima kwa kuwa kiongozi wa Bunge na elimu??? Kuna raia walogundua formula za mahesabu na hawakusoma. Sidhan kama uko sahihi, mzee mwenzangu.Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Ni vema kuubusu mkono unaokulisha ndugu.Tulia sijui yupoje yule. Kwanini akubali kutumika kijinga namna hii
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Toka 2000 had 2010 alikua kimya.msaada wa ubunge wa uwt viti maalum vya JkWe Taahira, Ni bora ungekaa kimya, Mbatia amekuwa mbunge mwaka 1995-2000 pia 2010-2015 na sasa 2015-2020 harafu unasema bila JK, are you serious?
Mtaalamu wangu kichefuchefu umerudi tena!, hebu niambie Ni dharura gani ikitokea naibu spika anakula shavu, Na Ni kwa katiba ya nchi gani?Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
[emoji23] [emoji23] wakuu,hivi nyinyi huwa mnatumia nini kufikiri??mnatumia kichwa kama mimi au??Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Kweli Mkuu ni mwanasiasa wa kweli mno, 2010-2015 alikuwa na wabunge zaidi ya 5, ila 2015-2020 ana mbunge mmoja.Mbatia kichwa sana.
Ni mwanasiasa wa kweli mno.
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Unafikiri siasa za upizani zinaweza kufanikiwa kama watu wenyewe kama wewe??? Umekalia ushabiki tu, tunawapongeza wapizani kwa kuibua mengi tuliyokuwa hatuyajui!!!!!!Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
"I'm so fast that last night I turned off the light switch in my Hotel room and was in bed before the room was dark" !
Hivi unajua yule msemaji wa chama cha kijani ana miaka mingapi kwenye siasa,elimu haingoziNafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Sijui tuwafananishe kwa kitu gani? 1. Wakiwa bungeni wote ni wabunge na mmoja ni naibu spika ambaye kiukweli ni bosi wa wabunge akiwamo mbatia 2. Nje ya bunge Tulia ni mhadhili wa chuo kikuu mama hapa nchini akiwa na shahada ya uzamivu katika sheria (Phd) wakati mbatia hakufanikiwa kumaliza shahada yake ya kwanza ya uhandisi alipotimuliwa chuo mwaka 1991. Nasikia baadaye alijisomea akapata shahada ya kwanza. Hivyo ni vigezo vinavyopimika na kuonekana kwa kila mtu.Acha ujingaaaa na UKILAZA sasa unataka kumfananisha MBATIA na huyoo Dada Yakoo???unajua kafikajee kwenye Ichoo kiti mpaka ujidaie ivi???Are you Serious?????haaa haaa A stupid person can be seen in his speech or writings....Eti sijui we umekula maharagwee ya wapiiii au ndoo Buku 7 zinakuwashaaaa..Ukomee na nisikusikieee tenaaa kumfananisha Jembeee na kijiko.
Kuwa mpinzani nchi hii ni sawa na kuweka maisha yako rehani,muonee hurumaMbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Brother lugha hiyo hapa si pahala pake.Mamako nae asubiri atapewa viti maalumu soon!
mbatia ni mwanasiasa hodari acheni unafiki ila njia aliyoichaguwa ni ndefu sana Tulia kapita kichochoro ila huwezi mlinganisha na Mbatia kisiasa ACHA KUWA KILAZA WWMbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Ule wa 2010- 2015 ulikuwa ni ubunge kupitia jimbo linaloitwa jakaya mrisho Kikwete (a.k.a viti maalumu kwa ridhaa ya rais)We Taahira, Ni bora ungekaa kimya, Mbatia amekuwa mbunge mwaka 1995-2000 pia 2010-2015 na sasa 2015-2020 harafu unasema bila JK, are you serious?
siasa ya chuo kikuu ya kumtukana mzee mwinyi?"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"
Source: Mh Mbati, James
kwa nguvu wanayotuia ccm pale waliposhindwa ulitaka awe na wabunge wangapi nccr,,au ndo mmeshasahau kina kafulila walitendewa ni nini.Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!