Muulize Mbatia awamu iliyopita aliupataje ubunge alipoteuliwa na KikweteYeye ubunge wa kupewa hajui wenzake walivyo upata kwa mbinde.
Unaamuru Nasari atolewe nje na polisi kama mwizi? Uchungu aliopitia Nasari hadi kuwa Mbunge yeye haujui na hatujui yeye kaupata vipi ule ubunge na unaibu wa haraka haraka
Mmawia vipi jombaa. Upo? Rais atafutaje kiti wakati mwanamama ndo alikuwa wa kwanza kuteuliwa?Tuna mpango wa kufuta viti vya rais
Kwa Mfano wewe Mumeo ni wa ngapi ki Mamlaka ?Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Ndiyo mbunge sasa tena wakuchaguliwa na wananchi jimboni mwakeMbatia ana matatizo sana,aliona bora aue chama ili mradi abebwe na ukawa apate ubunge
Mbatia ni bonge la mbunge anatakiwa awe ni wa kuigwaJamani mbona hamlielewi hili '' Laziama atende kazi zake kwa matakwa ya yule aliyemfikisha hapo'' . Unapokuwa mteule wa rais halafu ukawa dhaifu na mwenye kuhofia uteuzi wako haya tunayoyaona kwake ni dhahiri kuwa ameshindwa kutambua kuwa pamoja na kuteuliwa anatakiwa kubalance na kutambua kuwa hata kama yeye ni mteule lkn uteule wake ni kwa mujibu wa katiba ya nchi inayompa mamlaka kutekeleza majukumu yake bila kujikosha. Anatakiwa aige aliyoyafanya J.Mbatia wakati wa awamu ya nne.
Mbatia kasema ukweli huyo tulia ni juzi kaingia kwenye siasa na bado hajazifahamu vizuri siasa
Tulia sijui yupoje yule. Kwanini akubali kutumika kijinga namna hii
Usitoe pofu bwana kaka, kwani ukichaguliwa ndo inakuwaje? kuchaguliwa pekee hakiwezi kuwa kipimo cha busara ama bonge la mbunge. Tafadhali angalia hapa: baadhi ya waliochaguliwa na wananchi ni Kibajaji, prof. Maji marefu, Sugu, prof.j (joseph haule), mbowe, lameck airo, joseph msukuma, mr.bwege, kubenea etc. na baadhi ya walioteuliwa na rais ni prof. Mbarawa, prof. Ndalichako, dr. Tulia, dr. Possi na dr. Philipo Mpango. Kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa wananchi kuchagua yeyote hata kama kichaa kuliko mh. Rais anavyoweza kufanya makosa ya aina hiyo.Kunguni wewe kwani hujui kuwa yeye anatoka Jimboni na mwenzake kateuliwa na Rais,dont you see the difference?Hata wewe Rais akitaka uwe naibu spika si unakuwa?Acha kuchokoza watu wewe na usije ukaongea utumbo kama huu mbele za watu utajikuta ushasukumiwa ngumi hata kabla hujamaliza bila hata kuulizwa,acha kabisa mawazo mgando kiasi hiki.
Kumbuka tulia hakufika hapo alipo kwa uwezo wake binafsi bali ni cheo cha kupewa kwa maslahi fulani.Fungua ubongo kujifikirisha.Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Uncle upo sahihi huyu mwanamke mwenzetu ni jibu la karneJamani mbona hamlielewi hili '' Laziama atende kazi zake kwa matakwa ya yule aliyemfikisha hapo'' . Unapokuwa mteule wa rais halafu ukawa dhaifu na mwenye kuhofia uteuzi wako haya tunayoyaona kwake ni dhahiri kuwa ameshindwa kutambua kuwa pamoja na kuteuliwa anatakiwa kubalance na kutambua kuwa hata kama yeye ni mteule lkn uteule wake ni kwa mujibu wa katiba ya nchi inayompa mamlaka kutekeleza majukumu yake bila kujikosha. Anatakiwa aige aliyoyafanya J.Mbatia wakati wa awamu ya nne.
yaani wewe ndio choka mbaya,unamfananisha mbatia na huyo mama aliyepewa cheo?Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Aliwaitaje kwani?Yule mbunge dogo WA morogoro wabunge Wanawake WA kuteuliwa aliwaitaje vileee
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Adadhari mwanamke upewe cheo ila sio dume, nakumbuka Mbatia nae na udume wake alikubali vya kupewa bure!!yaani wewe ndio choka mbaya,unamfananisha mbatia na huyo mama aliyepewa cheo?