Dondoo za kupaa kichawi

Mshana somo hili linatundisha nini kaka?, si ulishastaafu!? napenda nimeet na wewe siku 1 kwani inaonyesha una nondo za kutosha kuhusu ulimwengu usionekana.

Hahahahaaaa, we mkareee, napenda sana the way ulivyo Openiwazi.
Somo la leo ni kutoa elimu juu ya kupaa ili usije ukaja kubabaishwa juu ya hadithi na hekaya za kupaa kichawi
 
Somo la leo ni kutoa elimu juu ya kupaa ili usije ukaja kubabaishwa juu ya hadithi na hekaya za kupaa kichawi
Haaya! tumekusoma, ila kumbuka leo ni sabato ya bwana! nyuzi kama hizi hazifai katika siku kama hii. pia ningependa siku moja uje na mchanganuo wa madhehebu na dini mbali mbali ili tujue kama tulipo ndiko?! au tulipo sipo?!
 
Haaya! tumekusoma, ila kumbuka leo ni sabato ya bwana! nyuzi kama hizi hazifai katika siku kama hii. pia ningependa siku moja uje na mchanganuo wa madhehebu na dini mbali mbali ili tujue kama tulipo ndiko?! au tulipo sipo?!
Ipo hiyo mbona? Tena ya mwaka jana mwanzoni ila niliitwa majina yote mabaya kwa wafia imani zao...nikiipata takutag
 

Dah......hiyo stand ya Porsche kiboko........hivi naweza kutumia soft broom.......au lazima liwe la mtimti.......?....
 

Attachments

  • image.jpeg
    30.3 KB · Views: 43

Mkuu ulisema utatupumzisha hii kwaresma, naona uvumilivu ...!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…