nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 2,135
- 1,303
Nilikuwa naangalia kikao cha Trump live akiwa White house kupitia Aljazeera, Trump alikuwa na makamu, waziri wa mambo za nje, waziri wa nishati pia aliwaalika wakuu wa makampuni makubwa ya mafuta.
Alisema Venezuera sasa ni mshirika na jana mapipa ya mafuta yalisafirishwa Marekani. Wakuu wa makampuni walieleza mikakati yao ya kurudi venezuera na amesema atawekeza 100b usd.
Makampuni ya mafuta yatawajibika kwa USA na sio Venezuera na pia kawaambia kama Urusi na China wanataka mafuta ya Venezuera waende kununua USA.
Kamuonya Raisi akienda tofauti atashambulia tena pia ataweka ulinzi wake kwenye makampuni ya mafuta.
Huu ni ubepari uliopitiliza.
Alisema Venezuera sasa ni mshirika na jana mapipa ya mafuta yalisafirishwa Marekani. Wakuu wa makampuni walieleza mikakati yao ya kurudi venezuera na amesema atawekeza 100b usd.
Makampuni ya mafuta yatawajibika kwa USA na sio Venezuera na pia kawaambia kama Urusi na China wanataka mafuta ya Venezuera waende kununua USA.
Kamuonya Raisi akienda tofauti atashambulia tena pia ataweka ulinzi wake kwenye makampuni ya mafuta.
Huu ni ubepari uliopitiliza.