Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,773
- 9,966
Hans Popo mpiga dili mwingine pale Mbumbumbu Fc.Makofia Hans Pope alikuwa anajinasibu kuwa wameshamalizana na Haruna na wako mbioni kumalizana na Ngoma
Hans Popo mpiga dili mwingine pale Mbumbumbu Fc.Makofia Hans Pope alikuwa anajinasibu kuwa wameshamalizana na Haruna na wako mbioni kumalizana na Ngoma
Nimeisoma kwenye website ya milladayo mkuuUlizisikia kwa nani mkuu?
Hata Niyonzima hawatampata.imeshindikana mtani...tafuteni mwingine
Poa tu, cha msingi hayuko kwenu. Mikia fc kuwasajili Ngoma na Niyonzima kwa mpigo yangekuwa ni matusi ya nguoni kwa chama langu Young Africans SC International.Ataendelea na majeruhi na migomo isiyoisha ya mishahara.
Sizitaki mbichi hiziNGOMA ni mchezaji wenu wana Yanga African. mnashangilia kama mchezaji bora kama level za Okwi . Sisi Ngoma anahusiana na nn kwenye chama letu? Msimu mzima kacheza mzunguko wa kwanza tu.
Hapana asee.... Kwa dengua dengua zile aende tu atatuchomesha mechi muhimuHuenda hata Niyonzima akabakia Yanga
Hahaha manyoyaaaHata Niyonzima hawatampata.
Wameachiwa manyoya tu!!!
Hata Niyonzima bado hajasajili Simba..Akihojiwa na Sports HQ ya EFM leo Kaburu wa Simba amesema maneno kuwa Niyonzima amesajiliwa Simba hata yeye anayasikia mtaani.
Usishangae kuona Niyonzima anasajili tena Yanga..Lolote laweza kutokea
Nimeisoma kwenye website ya milladayo mkuu
Wachoma jezi FC bhana.. Kwani ni mchezaji mpya huyo wakumshangilia? Si alikuwepo na majeruhi yake.. shubamit.!!
Mkwasa ana akili sana...alijua kuwa licha ya upande wa pili kuonekana wanapesa utakuwa mzigo kwao kumsajili jamaa.simba wamemfanya kitu mbaya NIYO,simba ni magaidi kabisa baada ya Yanga kutangaza kuachana na NIYO nao wakambadilishia kibao cha kumkopa
Yuleyule aliye kata pumzi mzunguko wa pili wa VPL?Tutamtumia kichuya kuwaua mapema iwezekanavyo!!!!
Mbumbumbu fc hawawezi kubali,lazima wapeleke barua Fifa kudai Ngoma na Niyonzima ni wachezaji waoPoa tu, cha msingi hayuko kwenu. Mikia fc kuwasajili Ngoma na Niyonzima kwa mpigo yangekuwa ni matusi ya nguoni kwa chama langu Young Africans SC International.
So far, Yanga imemsajili Ajibu kutoka Simba, wakati huo huo Simba haijanasa saini yoyote ya mchezaji kutoka Yanga zaidi ya majigambo ya Hans Pope na yule mfungwa wa kisoka.
Hivyo basi, hadi sasa:
Yanga 1-0 Simba.
hawa jamaa ni matapeli sanaMkwasa ana akili sana...alijua kuwa licha ya upande wa pili kuonekana wanapesa utakuwa mzigo kwao kumsajili jamaa.
Jangwani watuma salamu MsimbaziKumbe tetesi
Ubingwa vipi?sijawahi kumsikia mbumbu FC hata mmoja kuongelea ubingwa...pumzi zinakata mapeemaaaTutamtumia kichuya kuwaua mapema iwezekanavyo!!!!
Mbona yeye na Niyonzima wanaonekana kwenye 'kikosi cha mauaji' cha Mnyama cha 2017/18?NGOMA ni mchezaji wenu wana Yanga African. mnashangilia kama mchezaji bora kama level za Okwi . Sisi Ngoma anahusiana na nn kwenye chama letu? Msimu mzima kacheza mzunguko wa kwanza tu.
Huyo atakuwa amesaini timu zote mbili.Mmmhh,, na zile taarifa za Ngoma kusaini miaka mitatu Polokwane fc ya south vipi??