Kwa nini mnalikwepa jina lenu, "wamatopeni" ni jina tulilowapa Yanga wakati huo kutokana na uwanja wao wa kaunda kujaa maji.Good news kwa Yanga yetu...
Wamatopeni pole yenu
HahahaKwa nini mnalikwepa jina lenu, "wamatopeni" ni jina tulilowapa Yanga wakati huo kutokana na uwanja wao wa kaunda kujaa maji.
Wachoma jezi FC bhana.. Kwani ni mchezaji mpya huyo wakumshangilia? Si alikuwepo na majeruhi yake.. shubamit.!!
Jiheshimu.. Si Jinsia yangu angalia sana mkuu.bibie acha roho mbaya kama ila ya kapa
hahaha watu mna mikwara humuJiheshimu.. Si Jinsia yangu angalia sana mkuu.
kweli pole yetu. nilikua namtamani sana atue Msimbazi.Good news kwa Yanga yetu...
Wamatopeni pole yenu
Zaidi na zaidi anawasumbua sanaWachoma jezi FC bhana.. Kwani ni mchezaji mpya huyo wakumshangilia? Si alikuwepo na majeruhi yake.. shubamit.!!
Habari kubwa iliyonifikia hivi punde ni kwamba striker Donald Ngoma anatarajiwa kusaini mda wowote katika Club kubwa ya Simba.
Inasemekana Ngoma yupo katika mazungumzo ya mwisho na tajiri kijana Mohammed Dewji,na mda wowote atamwaga sahihi
kweli pole yetu. nilikua namtamani sana atue Msimbazi.
Zile million 180 zimeisha wapi?
Zaidi ya nusu zilikuwa zao wapiga dili. Mo afike mahali astuke!
He who laughs last.....baada ya kuhusishwa kujiunga na polokwane ya south africa, huku simba nao wakimvizia
hatimae donald ngoma aliingia jana usiku Tanzania na leo mchana amesaini mkataba wa miaka 2 wa kuendelea kuitumikia yanga
View attachment 531985View attachment 531986
Ngoma alikuwa akisakwa na Simba kwa nguvu zote
Tutamtumia kichuya kuwaua mapema iwezekanavyo!!!!Good news kwa Yanga yetu...
Wamatopeni pole yenu
Wee jamaa ni mgen au mshamba sana na soka la Tanzania.Kwa nini mnalikwepa jina lenu, "wamatopeni" ni jina tulilowapa Yanga wakati huo kutokana na uwanja wao wa kaunda kujaa maji.
Tuliambiwa mmewasajili Ngoma na NiyonzimaNGOMA ni mchezaji wenu wana Yanga African. mnashangilia kama mchezaji bora kama level za Okwi . Sisi Ngoma anahusiana na nn kwenye chama letu? Msimu mzima kacheza mzunguko wa kwanza tu.
lakini kamzidi magoli mavugoNGOMA ni mchezaji wenu wana Yanga African. mnashangilia kama mchezaji bora kama level za Okwi . Sisi Ngoma anahusiana na nn kwenye chama letu? Msimu mzima kacheza mzunguko wa kwanza tu.