Don,t be a betray

Don,t be a betray

Wizzey Nicky

Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Usikubali kuwa msaliti na usishawishike kuwa msaliti,

Minaona tamaa ndio chanzo cha usaliti ila tukiachana na tamaa usaliti utakuwa mdogo tena itakuwa vizuri katika uhusiano kwani uaminifu utaongezeka sana,,,

''trust it,, if you are in love''
 
ni kwel bhana hasa watoto wa shule na vjana vyuon tamaa inawafanya wawe wasalti
 
Wewe sio wa kwanza kuimba huo wimbo.
 
Back
Top Bottom