Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
KAMPENI KWA NJIA YA VYOMBO VYA HABARI, JUU YA KAZI ZENYE STAHA KWA WAFANYAKAZI WA MAJUMBANI, mnakaribishwa wote mnazi mmoja.
Wamama wote wenye manyanyaso kwa wafanyakazi wenu wa ndani, mnatunga sheria ambazo hata katika ulimwengu wa roho hazipo, mnapiga mara nyingine hata kuwajeruhi wasaidizi wenu wa ndani (chungeni sana), kama mwanaharakati naombeni sana mhudhurie mpate nasaha.
Karibuni sana
Nawakilisha.
CD
Wamama wote wenye manyanyaso kwa wafanyakazi wenu wa ndani, mnatunga sheria ambazo hata katika ulimwengu wa roho hazipo, mnapiga mara nyingine hata kuwajeruhi wasaidizi wenu wa ndani (chungeni sana), kama mwanaharakati naombeni sana mhudhurie mpate nasaha.
Karibuni sana
Nawakilisha.
CD