Nyie ndio mnaotengeneza mikate michafu locally nyumbani halafu mnaingiza kwenye soko sio? Mnafunga na makaratasi wanayotumia viwanda vikubwa halafu mnasambaza!Ndugu wapendwa, natafuta domestic bread slicer ya bei ndogo. Nimejaribu kutafuta Arusha nikaikosa ingawa duka la London Bazar walikuwa nazo kwa bei ya laki 4 Tsh na zikaisha. Mwenye taarifa kuhusu jambo hili naomba msaada tafadhali
Nyie ndio mnaotengeneza mikate michafu locally nyumbani halafu mnaingiza kwenye soko sio? Mnafunga na makaratasi wanayotumia viwanda vikubwa halafu mnasambaza!