Dokta Panju wa kipindi cha michezo EFM

Hakuna mtangazaji wa hovyo kama huyo jamaa kama umewahi kuwasikia wahindi nadhani hana anachofanania wahindi wanalafudhi yao sitakai lakini sio kwa makosa ya herufi anayoyafanya huyo bwana. Kifupi anaboa
hahahaha mbona umetokwa na povu... Nani alisema ana waigiza wahindi? kama humkubali na unamuona wa hovyo sisi wengine tunamkubali na tunamuona wa maana na wengine ndio sababu ya kusikila Sport HQ
dr panju ya panjuaaaaaniiiiiiiiiiiiiiii kwa hisani ya tigo hapana chacha...
 
Samahani picha haionekani vizuri,ila mnamuona huyo mwenye cap hapo...basi huyo ndo Dk Panju
2c291b07660a2acdd1919d780f703bc3.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Ftc
Naona week hiii inafatiliwa sana hii radio na TV (EFM na TVE) , juu ya vipindi vyake na watangazaji wake hapa ndipo huwa naukubuka wimbo wa Bahati bukuku " unapoianza safari wanakupa moyo ,ukionyesha mafanikio wanaibuka na kukubeza "
Sizani km tunalazimishwa kuisikiliza km VIP acheni tu au mnatumika ili ipotee kwenye ramani
Maana unajua walipo na account zao kwenye mitandao ya kijamii zipo needeni mkawakosowe huko
 
Namkubari sanaaaa

Manara anaita nanaraaa jamaa vetu veve

Jery muro sasa, nuuuroo toka chura churani ..


In short jamaa anajua

Eti juzi aden rage, dokta panju anavyoiita sasa, aden nae rege
 
Back
Top Bottom