Dogoz za Kizanzibar

mluga

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
676
215
Waungwana nasikia kuwa dogozi za kizanzibar ni balaa kitandani je ni kweli?
 
wanawake wa kizanzibari wanajua kupenda.ila dunia ya leo kidogo imebadilika.kwa mapishi ndio wenyewe,na wanajua kubembeleza mapenzi,na katika.i ndoa ni wavumilivu sana.ila tatizo lao wanapenda kuwa house wife,kidogo si watu wa kupenda kazi.Ukiwa nae ndani,utahudumiwa haswa.Utapewa huduma zote
 
wanawake wa kizanzibari wanajua kupenda.ila dunia ya leo kidogo imebadilika.kwa mapishi ndio wenyewe,na wanajua kubembeleza mapenzi,na katika.i ndoa ni wavumilivu sana.ila tatizo lao wanapenda kuwa house wife,kidogo si watu wa kupenda kazi.Ukiwa nae ndani,utahudumiwa haswa.Utapewa huduma zote

hiyo ndio kazi ya mwanamke ndio waliyoumbiwa hiyo, Huyo ni msaidizi wa mwanamme,
 
Back
Top Bottom