Dogo noma huyu

Dogo noma huyu

nina uhakika dogo aliposema "Amen" hakumkuta hata mtu mmoja mezani...

Mkuuu unadhani alivyokuwa anaendelea kuna mtu alibaki naona hamna aliyebaki kabisa
 
...pressure! Sala nyingine hazifai kwe wenye pressure! Ila dogo c'o, alikuwa anauza ishu tu! Ime2lia

Sana kama mtu una pressure hapo unashangaa unazimia ghafla kwa sala kama hiyo
 
<br
Kwani mother aliachwa na huyo 'homeless stranger' wake? Dogo kaua kotekote, tena afadhali ya dingi. Mweh!

Sana maana mother anatoka na homeless afadhali hata ya baba kidogo
 
Naona dogo aliwaacha watu hoi vibaya sana.....
 
dogo baada ya kumaliza sala.....Alizimia ghafla,maana alikuta wote wameshazimia kitambo.

Hahahahha kabisa mkuu hapo naona kulikuwa hamna kuangaliana usoni maana ilikuwa ni balaa tu, sasa ikikutokea hii utafanyeje hivi??
 
At dinner a little boy offered to lead in prayer;

Dear GOD, I thank you for giving me such lovable parents, Thanks for visitors and their children who finished all my cookies & ice cream.Bless them so that they wont come again. Forgive our neighbour's son who was wrestling with my sister on her bed & his daughter for eating a sausage from my brother's pants. This winter please send clothes to all those poor nakes ladies in Daddy's cellphone & provide shelter for the homeless man who uses mum's room when dad is at wark AMEN

Hii ni full dose, @mtu kapewa sawasawa na matendo yake. Dogo alipata mafunuo bab-K!! ........ni jokes ila inafunzo kwetu kama familia.
 
Hii ni full dose, @mtu kapewa sawasawa na matendo yake. Dogo alipata mafunuo bab-K!! ........ni jokes ila inafunzo kwetu kama familia.

Kabisa mkuu hii kitu ni kiboko yaani, huwa nikiisoma nacheka sana tena sana...
 
Back
Top Bottom