dogo kwaa kinyozi

Judi wa Kishua

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
1,241
Reaction score
1,472
[h=5]Jamaa kaingia kwa kinyozi na mtoto,akaomba anyolewe nywele na ndevu.

Alipomaliziwa akasema mtoto pia anyolewe,akaaga kuwa anaenda dukani kumnunulia mtoto viatu.

Masaa matatu yakapita jamaa bado haonekani.Kinyozi akamwambia mtoto,"Oya babako amekusahau?"

Mtoto akajibu,"Yule sio baba yangu...mi nilikuwa napita hapo nje,akanishika mkono akaniambia tuingie hapa tunyolewe bure!"
[/h]
 
Kuna hatari ya dogo kupekuliwa ili aache chochote alichonacho.
 
Ha ha haha hapo lazima dogo aende nyumbani bila nguo haiwezekani ha ha ha!!
 
This is so smart walahi...
 
HAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAH.....kama vipi arudishie nywele
 
Mjini mipangooo

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Simike Mbeya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…