Dogo Katisha

Hv nn tofaut kat ya engineering na arts ka vyote vinahusisha creativity? Hapa kwetu naona anaechora picha ya gari anachukuliwa kama anaweza kutengeneza gar akiendelezwa!!!
Ukiwa mtengenezaji magari, nyumba ! Halafu ukawa na kipaji hiki tangu mapema ni added advantage;
 
Hukupata wa kukiendeleza kipaji chako! Nenda kawatembelee wanafunzi wa architecture Ardhi University uone wanavyo kesha kukata maboksi wanaita kutengeneza models!
 
Inaonekana shule ulienda tu ila haikukusaidia kufuta ujinga.Ungejua technology unayoiona leo ilipoanzia usinge andika upupu wako.Au soma tena ulichoandika utafakari halafu andika tena labda utaandika kitu tofauti na ulichoandika.Binadamu ameambatana na mabadiliko daima na anapopewa nafasi anakua zaidi na kinyume cha kupewa nafasi ni kudumaa watoto wengi kwenye jamii yetu tumedumaza uwezo wa fikra na hivyo tumeua uwezo wa ubunifu.Matokeo hakuna ufanisi kiutendaji.Halafu aliyekuambia kuiga kitu fulani kwa kukiboresha ni vibaya ni nani?Hebu waza kama ugunduzi wa magari au ndege ungebaki Marekani leo dunia ingekuwaje?Lakini leo kwa kuona magari na ndege za Marekani mataifa yote yaliyoendelea yanaunda za kwake sababu ni hawakudumaza ubunifu kama sisi
 
Kuna kipaji gani hapo? hayo maboksi watoto wote wanaweza kutengeneza mtaani.
Ukitulia utagundua hicho kitu alichofanya kina maanisha nini kwenye maisha yake hapo baadae. Usipende kuangalia hapa hapa.
 
Aa sanaa!ulaya huyu angegombaniwa ila hapa sio waziri wa elimu wala waziri wa sanaa atakaemtafuta japo kumtia moyo.
 
Maulana Mola wetu akubariki kijana na akupe haja ya moyo wako!
That’s amazing walahi!
 
True
 
nimependa reaction yako na jinsi inavyojenga.
kiukweli jamii zetu zina fani nyingi sana zilizojifia kwa kukosa uelekeo na nani wa kuziongoza.
ninazo picha za watoto 2 wali-design majengo kwa kutumia mabox lkn ukitazama wametumia ufundi wa hali ya juu sana.
nilikutana nao kasenda wakitembeza na inasemekana kuna watu huuziwa michoro hiyo kwa ujira wa 5,000-10,000 na kuitumia kujenga majumba halisi.
sina ujuzi wa ku-appload picha (tecno tochi) inanikwamisha. anayeweza kusaidia, anitumie ujumbe whatsapp 0782302323 nimtumie.

JF tuwe mbiu ya kuwakusanya na kuwasemea wanyonge.
 
Kuna kipaji gani hapo? hayo maboksi watoto wote wanaweza kutengeneza mtaani.
wewe umewahi tengeneza au mwana ukoo wako ametengeneza, penda kutambua mchango wa wengine hata kama ni wa kukwambia usikae hapo kiti kinavumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…