Dogo ana ndoto kama za Lowassa

Dogo ana ndoto kama za Lowassa

Kivumah

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,427
Reaction score
1,061
416945_2939039633896_1198300141_32232418_1304880643_n.jpg
 
Ni ya kweli ka mtu anabisha atembelee facebook yake.
 
Mwacheni adream high hata kina Obama si walianza hivyo hivyo kama mchezo, urais watu hawakurupuki tu you have to believe in it.
 

Kuwa na njozi si mbaya ila utekelezaji wake kwa huku tunakoenda ni mgumu.Si umesikia watoto wa vigogo wapo shule za maana na kwenye utamu wa serekali wapo na wengine wameamua kuwaanda wakwe zao.
 
Dogo can be anything be it president or a great scientist provided he is assured of his right to shelter, food, health care education etc.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Back
Top Bottom