Dog trainer jijini mbeya

baba frances

Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
39
Reaction score
37
Habari kwa yule mwenye uhitaji wa kufundishiwa mbwa mkoani mbeya minipo naujuzi wa kufundisha mbwa ukali anapokuja mwizi,utii kwa boss wake,kumwepusha na sumu, pamoja somo lolote unalohitaji mbwa wako afahamu Nina cheti na uzoefu wa miaka kumi pia naweza kukusaidia ukapata mbwa bora na pia kukusaidia kukuzia mbwa na kukushauri pia 0755469696
 
BabaFrances,kama unaweza kufundisha mbwa akaelewa na kutii nakufanya anavyoamrishwa na boss wake,hapo utakuwa na ujuzi mkubwa sana tena,kumbuka kulifnudisha linyama,lisilo sikia lugha ya binadamu wala kujua chochote,basi naomba nikuletee demu wangu mkorofi ambae hana utii kwangu na pia haelewi vyoote navyomfundisha,najua itakua rahisi kwako na tena hutaumiza kichwa chako,coz ni binadamu kama wewe,na anasikia unachomwambia tofauti na mbwa,nitakulipa mara sba sabini zaid yai kufundisha mbwa,ila ukijifanya mjanja ili umtie shuri lako coz ana allergy na mboroo,akiiona au kuihisi au kuishika lazima ataiuma mpaka utalazwa hospitali,kumbuka hatoingoa au kuikata,ila ataitafuna kama BG G kwa nusu saa bila kukuachia.
 
Ni sh. ngapi kwa somo la kumfundisha mbwa asile sumu?
 
Sasa wewe Madindigwa nkoi,vipi ole mhola ebhee?,hivi unafikiri mbwa koko wa usukumani wanafudishika?labda wa GAMBOSHI mayuuuuu,nyanoko ebhee.
Ungekuwa karibu yangu ningezaba kofi la toka kichwa mbofu kweli unafikiri wasukuma bado wa enzi zile ntomboloko ebe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…