Dog meat in Nigeria

Dog meat in Nigeria

Ila mdada kauzu aisee, naona mwishoe amekubali matokeo,,,,ati it's delicious like cow meat!!!

Halafu haina kificho hii, barabarani tu tena mchana kweupee.

Dah..wadau wa kule tanangozi ngome ya Mkwawa inawahusu hii,,,ha ha
 
Ila mdada kauzu aisee, naona mwishoe amekubali matokeo,,,,ati it's delicious like cow meet!!!

Halafu haina kificho hii, barabarani tu tena mchana kweupee.

Dah..wadau wa kule tanangozi ngome ya Mkwawa inawahusu hii,,,ha ha
umeona chachandu yake imetengenezwa na supu ya mbwa mwenyewe? :llama:
 
umeona chachandu yake imetengenezwa na supu ya mbwa mwenyewe? :llama:

Uuuuuuuuwi! Mbona nyama nyingi sana ni tamu lakini siyo zote watu wanakula? Ya mbwa inaleta kelele kwa nini basi? Kama mnakula kuleni kimya kimya msitafute washirika. Ni kosa kumshawishi mtu kutenda dhambi!
 
umeona chachandu yake imetengenezwa na supu ya mbwa mwenyewe? :llama:

Nimeona mkuu, halafu inaonekana flavour yake ni kiboko. Dada alisita kidogo kuonja akidai anaogopa kutapika but alivyojaribu tu wacha asifie, hii chachandu ni nouma!
 
kitu kama ukichemsha kinachemchika,ukibonyeja kinabonyejeka na ukitafuna kinatafunika,bachi kinaliwa icho,haliliwi jiwe tu...wap wamakonde
 
Back
Top Bottom